WALIMU WATELEKEZWA WILAYA YA KWIMBA.
Tunaomba idara zinazohusika ziwasaidie walimu Hawa.
Ni uhamisho ulotolewa kwa walimu wengi ndani ya wilaya hii ya KWIMBA ILIYOPO MKOA WA MWANZA.
Uhamisho umetolewa siku nyingi Sana 25/03/2019.
Lakini cha ajabu walimu Hawa wametelekezwa,
Hawajapelekwa...
hii inayosemwa imepita anga la Jupiter.
IPO Kati ya Dunia na Mars, na inaielekea dunia, any time tunalipuliwa
Na haya mambo yatatokea siku zijazo, japo kuna watu wanaona ni vitu via kufikirika
Umeongea points. But kuhusu lowasa unataka kumpigia kampeni au?
Wataalamu wetu wa kilimo walioenda Israel, wanatakiwa kulindwa maana kuna hatari ya kulengwa.
Yes, hawajapata uhuru. Siku moja watarudi kuleeee walikotoka. Siku wakijitambua na kuanza kudai chao kwa wazungu, mambo yatarudi Kama mwanzo.
Na Safari hii watapigana wenyewe,
Utumishi wa Leo ni wa kisenge,
Watu wanaambiwa usimhamishe mtumishi bila kumlipa ila majamaa bado yanahamisha tu na hayalipi, na wanakulazimisha uende kazini,
Sasa unajiuliza hawa jamaa ni wasenge kiasi gani,
Madaraja hawapandishi watumishi,
Ukiongea unaonekana weww ni mpinzani.
Huu ni...
Huku wanaotembea na wake za watu wanachomewa nyumba zao moto,
Kuna watu wanaitwa wagindu, wanaolala na mwanamke usiku bila mke kujua, wanashusha mwanaume chini, then wanasakata ngoma,
Huku ni mapanga tu na kuchoma nyumba yake
Tukifanikiwa kutengeneza vifaa vya kisasa ambayo vinaenda speed ya ungo wa mchawi, basi Dunia nzima itatuogopa,
Maana hata wazungu na kujitahidi kwao kutengeneza ndege na rocket, lakini bado hawajafika kwa mchawi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.