Recent content by crunkstaa

  1. crunkstaa

    Tanzania na China: Kwanini tunajadili mkataba mmoja tu kati ya 17 iliyosainiwa?

    MKUU POST IMEKWENDA SHULE ILA WACHANGIAJI WANASEPA KAMA HAWAIONI
  2. crunkstaa

    Hivi unajua unaweza kutumia akili kidogo tu ukapata pesa nyingi?

    CONTROLA, mkuu salute kwako aiseee, very productive threat
  3. crunkstaa

    Ukubwa wa Ulimwengu ni kiasi gani?

    somo zuri mkuu naomba uendelee kutuelimisha
  4. crunkstaa

    Ukubwa wa Ulimwengu ni kiasi gani?

    asante san mkuu,sina la ziada na nzuri zaidi umenielezea doppler effect vyema zaidi na ilivyokuwa inanichanganya. ila nina ka swali kidogo katika speed of light Kwa time travel tunaamini theory inayosema ukikaribia kasi ya mwanga basi utaweza kutravel through time na kwenda future but ukiizidi...
  5. crunkstaa

    Ukubwa wa Ulimwengu ni kiasi gani?

    apologies 13.8 bilion na sio 3.8 bilion years but question is still there
  6. crunkstaa

    Ukubwa wa Ulimwengu ni kiasi gani?

    pia mkuu nina swali zaidi hapo,inaaminika diameter ua universe ni 46.5 billion light-years according to google na pia universe ilianza approximately 3.8 bilion years ago swali ni how come kitu ilioanza 3.8 bilion years ago ina kuwa na diameter ya 46.5 mot years but light years?.
  7. crunkstaa

    Namna mashirika ya nje ya kijasusi yanavyowarecruit wazawa kuwa mawakala wao

    dah !!! yaani jamaa umedhamiria kuharibu mada kabisa sasa sijui na wewe ni mmoja wa mosaad?.
  8. crunkstaa

    Safari ya kwenda Mirihi (A journey to Mars)

    kazi nzuri mkuu
  9. crunkstaa

    'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

    ni sawa mkuu hujakosea my point is anything can change .
  10. crunkstaa

    'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

    umeenda mbali sana mkuu kwani kuna dawa za kunenepesha makalio na mqaziwa .yaani hata mwezi humalizi mkuu.kinachofanyika ni ku speed up chemical reaction za mwili so ni kweli evolution is taking place sema kama kuna mtu kaamua kubisha basi wee acha tuu abishe chief ila wanakubali kiaina
  11. crunkstaa

    Kwa mtaji wa 25 million nifanye biashara gani?

    Kwenye daladala inabidi kujipanga maana mm nimekwama na imefika mahali nauza hata hio gari yenyewe mkuu.
  12. crunkstaa

    Kwa mtaji wa 25 million nifanye biashara gani?

    Darmajeks, Mkuu biashara ya daladala sikushauri kabisa maana mm ninayo ila inasumbua sana .sio ubovu wa gari wala matrafki ila roho zetu tuu wanadamu na mambo ya kitamaduni mkuu.
Back
Top Bottom