asante san mkuu,sina la ziada na nzuri zaidi umenielezea doppler effect vyema zaidi na ilivyokuwa inanichanganya. ila nina ka swali kidogo katika speed of light
Kwa time travel tunaamini theory inayosema ukikaribia kasi ya mwanga basi utaweza kutravel through time na kwenda future but ukiizidi...
pia mkuu nina swali zaidi hapo,inaaminika diameter ua universe ni 46.5 billion light-years according to google na pia universe ilianza approximately 3.8 bilion years ago
swali ni how come kitu ilioanza 3.8 bilion years ago ina kuwa na diameter ya 46.5 mot years but light years?.
umeenda mbali sana mkuu kwani kuna dawa za kunenepesha makalio na mqaziwa .yaani hata mwezi humalizi mkuu.kinachofanyika ni ku speed up chemical reaction za mwili so ni kweli evolution is taking place sema kama kuna mtu kaamua kubisha basi wee acha tuu abishe chief ila wanakubali kiaina
Darmajeks,
Mkuu biashara ya daladala sikushauri kabisa maana mm ninayo ila inasumbua sana .sio ubovu wa gari wala matrafki ila roho zetu tuu wanadamu na mambo ya kitamaduni mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.