Used inauzwa laki 5 - Laki 7 (hamna bei maalum kwa used)Inauzwaje hii mkuu
Kama zilivyo mashine nyingine mkuu,kuna zaa petrol na diesel
Mtoa mada dhumuni lake ni kuwapa idea wale waajiliwa wasio na muda ambao sikuzote wanapoteza pesa kwwnye miradi wanayoanzisha sasa ulitakiwa ukitoa KASORO ulete SOLUTION kwamba wafanye nini.
Unajua rahisi kusema hichi hakifai ila ukiambiwa aya lete kinachofaa wewe unashindwa.
Sent using Jamii Forums mobile app