General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Aisee mambo mazito haya, huyu Mungu aliyeumba Universe uwezo wake hakika hauchunguziki.
Na hapo ni Physical World. Bado Spiritual World ambayo inaaminika kuwa ni kubwa zaidi ya Physical.
Kweli Hekima yake hauchunguziki kwa akili za Kibinadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu yupi?