Recent content by crms

  1. crms

    Walimu kwanini mnawadhalilisha watoto?

    Sahihi kabisa. Kuna watu ni mabashite tunawaacha kama walivyo
  2. crms

    Walimu kwanini mnawadhalilisha watoto?

    Wanafunzi wa zamani tulikuwa na adabu na heshima kwa walimu wetu lakini cyo vitoto vya kizazi hiki cha nyoka. Usipotumia fimbo atakupanda mgongoni na kukunyea. Eti unafight unasoma vitabu unasummarize notes tena unaandika mwenyewe ubaoni ili aandike kitu kilichosahihi lakn cha ajabu yeye anakuwa...
  3. crms

    Walimu kwanini mnawadhalilisha watoto?

    Ningekuwa namfundisha mtoto kwenye shule ninayofundisha kama ni kilaza hakika ningekuita ofsini kukupa vidonge vyako na ikiwezekana ukamfundishe nyumbani kwako akishakuelewa ndio umrudishe shuleni akiwa bright.
  4. crms

    Walimu kwanini mnawadhalilisha watoto?

    Kila amtukanaye mwalimu ana mapepo. Hakuna mwalim kilaza ndio maana alisomea kazi hiyo na akafaulu. Pia hakuna mwalm wa sec ambaye alifeli ndio akaenda kusomea ualimu, kuna walimu wana Division I zao wamesomea ualimu leo mnasema ni vilaza hizo ni kauli za kipumbavu......samahani kwa hili cyo...
  5. crms

    Ikulu: Rais Magufuli apokea ujumbe kutoka kwa Kagame. Akubali kupeleka Rwanda walimu wa Kiswahili

    Walimu ambao hamjaajiriwa changamkieni hiyo fursa maana ikibuma mtaajiriwa hapahapa tz. Ndio habari ya mjini. Hata kama hutaki kwenda Rwanda apply tu lolote laweza tokea. Usipopata lazima utaajiriwa hapa. Maana sera ya sasa unaapply nje kwanza ndio unajiriwa home.
  6. crms

    Nyoka ni marafiki zetu na sio maadui, tusiwadhuru bila ya sababu bali tujenge nao urafiki

    Wewe ni agent wa ibilisi na utakuwa unafuga manyoka. Soma UFUNUO WA YOHANA 12:7-17 Vita kati ya Malaika Mikael na malaika wengine dhidi ya yule joka mkubwa joka wa zamani. Nyoka cyo kiumbe rafik hata kidogo maana atakugonga kisigino nawe utamponda kichwa. Kwa hiyo unataka kusema kwamba...
  7. crms

    Iweje mwanamke unaenda kujinunulia pete ya uchumba?

    Haijalishi mkuu hayo ni maelewano ya wapendanao. Wengine hawana utaalamu na size. ukimnunulia wewe yaweza kuwa oversize, so mwenz wako anaweza kumpatia pesa akanunue ili amletee aitunze mwanaume hadi cku ya kumvalisha, au wanaweza kwenda wote wakanunua na mwanaume akaitunza hadi ck ya...
  8. crms

    Nipeni mawazo mimi mwalimu wa ajira mpya kuhusu chama gani cha walimu cha kujiunga

    Chama kinachotambulika ni CWT na huna haja ya kujaza mkataba mwajiri wako anakuunganisha automatically
  9. crms

    Je, kisheria Paul Makonda ana mamlaka ya kuzuia usambazaji wa films za kigeni?

    Waziri wa sanaaa na michezo yuko wapi na anafanya nin hadi RC anatoa maamuz kw wizara isiyomhusu? Yeye ilipaswa kupeleka taarifa hizo kwa waziri mwenye dhamana then ifanyiwe kazi. TZ ni shida sana bado hatujafika safari kwanza ndio inaanza.
  10. crms

    Askari wa suma JKT wanaolinda msitu wa Meru Olmotony Ngaramtoni Wilayani Arumeru, wameua mtu

    Hii ni hatari sana kwa taifa na matukio haya yanaliaibisha taifa sana habari zinakanganya mara raia kapigwa risasi na askari, mara askari wapigwa risasi na majambazi, mara majambazi yapigwa risasi na polisi cjui nchi hii tunakwenda wapi yaani ni kama visasi tu. Mungu atusaidie sana jaman...
  11. crms

    Maisha magumu kwa watumishi wa umma hasa walimu

    Tutafika tu maana hakuna marefu yasiyo ncha.
  12. crms

    Maisha magumu kwa watumishi wa umma hasa walimu

    Hadi awamu ya 3 iishe nitakuwa nimekimbia nchi
  13. crms

    Siku za kujifungua zimepitiliza, msaada.

    Pole sana mkuu. Usihofu ndg yangu hakuna jambo gumu la kumshinda Mungu na mkono wake siyo mfupi hata ushindwe kugusa. Usijiulize maswali mengi. Kama yuko hospital alika mtumishi mwenye upako wa kutosha na mwenye macho ya rohoni Bwana atamtumia na atamwombea Bwana atatenda. Hata kama hujaokoka au...
Back
Top Bottom