Hichi kipindi ndo ninakipitia mpka nakua naona sina mtu wa karibu wife ana mimba mambo hayaendi yaani kupitia jf nakuona siko mwenyewe ninae pitia kumbe wako walio wahi pitia nakaza moyo nitashinda hii vita kwa uwezo wa Mungu
Mimi pia ni mtu hua na sali sana nilihamia maeneo kulkua na nguvu za giza sana nikawa napata shida sana kiroho nikilala na kulkua na mapaka mengi kila siku hapo nje yanalia sometimes kama watoto...mpka majirani wakawa wanaogopa uchawi wa hapo mimi nikawambia nitawaondoa....nikaanza formula na...
Wana ndugu napenda niwashirikishe wazo langu linalo tatiza ufahamu wangu....ni biashara ndgo ya namna gani naweza fanya kwa mtaji wa makadirio ya laki5
Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi kua nae karibu ndo walivyo hawa viumbe...ila usimwendekeze sometime anapaswa kujua na wwe hupendezwi na hivo vtuko.....na uwe makini nae tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana yesu biblia inatutaka tuikumbuke siku aliyotuondokea hapa ulimwenguni hii kristmasi nimeikuta ila kila nafsi ina haki ya kujiamulia mema na mabaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.