pastor muyamba
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 252
- 135
Habari ya asubuhi wakuu ....
Jamani mke wangu ananinyanyasa tukichekeana nusu SAA nusu SAA ukolofi ananiuliza maswali ya mitego nijibu aanze kufoka natamani kusafir kila siku u ,SWALI
INA maana mke anavyokuwa na mimba akili inahsmia tumboni ? Maana mtoto so mtoto ,Mimi syo mpenzi wa mpira lakini imenilazimu niendage mechi za usiku ,maoni na ushauri Tafadhali wakubwa huenda Nina makosa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani mke wangu ananinyanyasa tukichekeana nusu SAA nusu SAA ukolofi ananiuliza maswali ya mitego nijibu aanze kufoka natamani kusafir kila siku u ,SWALI
INA maana mke anavyokuwa na mimba akili inahsmia tumboni ? Maana mtoto so mtoto ,Mimi syo mpenzi wa mpira lakini imenilazimu niendage mechi za usiku ,maoni na ushauri Tafadhali wakubwa huenda Nina makosa
Sent using Jamii Forums mobile app