Habari wanajamii
Hivi ni tabia gani au mazoea ambayo umeshindwa kabisa kuacha?
Mfano kwa upande wangu huwa siwezi kujisaidia haja kwenye Choo ambacho hakuna ndoo ya maji na lazima nimwage maji nisafishe choo na nijaze maji tena kwenye ndoo kabla ya kujisaidia hata kama hotel hiyo ina uhakika...
Siku kama ya Leo mwaka 1911 huko London yalizuka mapigano baina ya polisi na wahamiaji wa latrivia baada ya kiongozi we kundi LA wezi kuuwawa baada ya kuiba katka maduka ya Vito vya thamani huko Houndsditch December 1910.ni katika mapigano hayo police waliomba usaidizi wa jeshi lao LA nchi.ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.