Recent content by Credio

  1. C

    JamiiForums Tanzania Hivi ni tabia/ mazoea gani umeshindwa kuacha?

    Habari wanajamii Hivi ni tabia gani au mazoea ambayo umeshindwa kabisa kuacha? Mfano kwa upande wangu huwa siwezi kujisaidia haja kwenye Choo ambacho hakuna ndoo ya maji na lazima nimwage maji nisafishe choo na nijaze maji tena kwenye ndoo kabla ya kujisaidia hata kama hotel hiyo ina uhakika...
  2. C

    JamiiForums Tanzania One point gun

    Siku kama ya Leo mwaka 1911 huko London yalizuka mapigano baina ya polisi na wahamiaji wa latrivia baada ya kiongozi we kundi LA wezi kuuwawa baada ya kuiba katka maduka ya Vito vya thamani huko Houndsditch December 1910.ni katika mapigano hayo police waliomba usaidizi wa jeshi lao LA nchi.ni...
  3. C

    JamiiForums Tanzania D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

    Mmmmmh jamaa ni hatari
  4. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kina dada wa mjini shikamooni

    Ur thinking loud broo no one hears u just make ur heart hear ur mourning[emoji22] [emoji30] [emoji30] [emoji22]
Back
Top Bottom