Recent content by Credio

  1. C

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefikisha mwaka mmoja without Sex

    Kwann nisiweze kila kitu kinaanzia kichwani kama unaamini huwezi basi hutaweza. Nchi za Africa haziendelei kwasababu kama hizi vijana muda wote wanawaza Sex, pombe, kamari, Nyama za bure na kupata mafanikio bila kufanya kazi
  2. C

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefikisha mwaka mmoja without Sex

    Kwahyo hukufanya sex kwasababu uliamua na kuweka nadhiri Au hukufanya sex kwasababu una madeni mji mzima, ulikuwa na msongo wa mawazo au kwasababu mke alikukimbia hivyo sex ya bure haikuwepo
  3. C

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna Mgao wa Maji maeneo ya Shekilango Dar? Kama Ndio, Tuambiwe Ukweli

    Haki huja na wajibu Je mmetimiza wajibu wenu?
  4. C

    JamiiForums Tanzania Mimi naona bora nioe mwanamke mwenye watoto 2,3 ,4 au 5 nakuendelea kuliko kuoa mwanamke mwenye mtoto mmoja

    Wana heshima sana hao achana na hawa wenye mtoto mmoja amemsweka kwa bibiake
  5. C

    JamiiForums Tanzania Mimi naona bora nioe mwanamke mwenye watoto 2,3 ,4 au 5 nakuendelea kuliko kuoa mwanamke mwenye mtoto mmoja

    Hii ni kwasababu ukioa mwanamke mwenye watoto kuanzia 2 basi unajua kabisa toka mwanzo kwamba umeoa mke wa mtu hivyo unaishi kitaalamu. Na kama mmewe amefariki basi unakuwa una uhakika zaidi maana anakuwa na heshima sana pia anajua nini maisha yanataka ILA Hawa wenye mtoto mmoja huwa wanahisi...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Watanzania wenzangu mbona siwaoni mashindano ya formula 1 hapa Monaco, France?

    Wiki hii kumefanyika mashindano ya formula 1 hapa Monaco France yaliyohudhuriwa na matajiri wengi toka pande zote za dunia. Haya matajiri wetu wa kibongo mbona siwaoni huku?, maana mmezoea kuviba club za bongo na kuletewa martell au Henesy na vibango vipi huku hamvimbi? Kutwa kujifanya wala...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Upi ni mtizamo wako kuhusu ndoa?

    Habari wana jamii. Nimeanza na hilo swali kwasababu ya kisa ambacho nahitaji kumpa mtu ushauri Je, upi ni mtizamo wako kuhusu ndoa? 1. Uoe au uolewe kwaajili ya kupenda/kupendwa au 2. Uoe au uolewe kwaajili ya connection, future na fursa zinazofuatia Hapa naomba nieleze kidogo Ki historia...
  8. C

    JamiiForums Tanzania Hivi ni tabia/ mazoea gani umeshindwa kuacha?

    Habari wanajamii Hivi ni tabia gani au mazoea ambayo umeshindwa kabisa kuacha? Mfano kwa upande wangu huwa siwezi kujisaidia haja kwenye Choo ambacho hakuna ndoo ya maji na lazima nimwage maji nisafishe choo na nijaze maji tena kwenye ndoo kabla ya kujisaidia hata kama hotel hiyo ina uhakika...
  9. C

    JamiiForums Tanzania One point gun

    Siku kama ya Leo mwaka 1911 huko London yalizuka mapigano baina ya polisi na wahamiaji wa latrivia baada ya kiongozi we kundi LA wezi kuuwawa baada ya kuiba katka maduka ya Vito vya thamani huko Houndsditch December 1910.ni katika mapigano hayo police waliomba usaidizi wa jeshi lao LA nchi.ni...
  10. C

    JamiiForums Tanzania D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

    Mmmmmh jamaa ni hatari
  11. C

    JamiiForums Tanzania Kina dada wa mjini shikamooni

    Ur thinking loud broo no one hears u just make ur heart hear ur mourning[emoji22] [emoji30] [emoji30] [emoji22]
Back
Top Bottom