Naweka kambi hapa... Maana nilinunua hilo Godoro wanaita Dodoma.. liko na features zote wazosema tukague kujua kama ni halis au lah. Cha ajabu lina Miaka Miwili ukilala linabonyea bonye hali inayopelekea kuumwa sana Mgongo
Lain yangu ya Voda niliokota shambani polin polin 2007, Bila shaka wengi mnafaham enzi hizo hakukuwa na mambo ya kusajili line wala nin. Sasa sikuwa na sim na pale Nyumban wavulana tulikuw watatu tuonaofafa umri. Tukapewa sim na Sisiter yetu mkubwa aliyekuwa anaondoka kwenda Daslam kwa ajil ya...
Kipindi cha kuandaa Mabed hiki.... Komaa kuandaa mabed maana mwakan pesa ya Tumbaku ni uhakika. Ukikaa vzur pesa utakayo pata mwakan kwenye tumbaku kwenye Ualim unaipata kwa miaka si chini ya 10. Kazi kwako
Lakin sambamba na hilo Wanafunzi wa sasa mna kauzembe sana. Vyuo vingi vinatoa barua za Field Miez kadhaa kabla ya Field ili kuwapa nafas wanafunzi kutuma sehem mbalimbali Lakin wengi hamfanyi hivyo mnakaa nazo magetoni wakat ungeweza kuscan na kutumtumia mtu hata kama yuko mkoa wa mbali...
Mbona wakati wanajazana mi sikuwepo... Irudiwe irudiwe nipate kaz mi jobless.
Anyway huwa nafikir kma wew, siku hizi kuna vichama chama ving ambavyo havina msingi bahat mbaya vichama hiv au viumoja hiv vimeingia mpaka kwenye nyumba za ibada. Utakuta watu wa mkoa X wako busy at utasikia umoja...
Lakin bado nina kigugumiz juu ya usaili. Kuna mtu kamaliza 2015 na hata sehem ya kujitolea kufundishq alikosa akaamuq kujikita kwenye bodaboda, Leo unatangaza ajira na unamuingiza kwenye usaili na Graduate wa 2023 fresh kabisaa kutoka chuo, kichwa bado cha moto. Freshers ananafasi nzuri zaidi...
Ndugu Wana JF Nimekuwa napata changamoto ya Kufungua Gmail Account Kwa Wiki sasa. Kila namba Ya Simu ninayojaribu kuweka kwa ajili Ya Verification inagoma. Ukizingatia kipindi hiki Wanafunzi wanatuma maombi Mbalimbali na wanaitajika kuwa na Email. Imekuwa changamoto sana kwangu na kwa hao...
Binafsi nakuelewa sana. Ila tafsir ya maisha wakat mwingine ni ngumu sana kuielewa. Any way tuishi na ndio maisha.
Kuna tuliobahatika japo kufanya kazi za mkataba Serikalin na tukafanya haswaaa kwa bidii sana. Ni ngumu kujisifia ila nilipewa sifa na watu kuwa utendaji wangu wenda ulizidi mara...
Wakikupq ABC unishtue na mim twende wote. Maana kuna jamaa nilimsikia na anaishi huko akisema ukipata chance ya kuja huku hata kama mke wako yuko Labor we acha kila kitu na njoo
Mashabik ya tim flan yanashida sana.. Sik ile Yanga wanakosa penat Mbili za mwanzo yakawa yanashangilia na kugonga gonga vitu na kufahanya uharibifu mkubwa, Moyoni najiuliza hiv haya yanajitambua kweli?? Yaani hayana uchungu na timu yao kufel ila yanafurahia kias hiki yanga kufungwa!!!! Bahati...
Mi mweusi tiii ye Mweupe peee Nahis itatuchukua karne kufanana... Ila tabia kama kufiri kwa haraka na kuchukua maamuzi naona na yeye anaanza kuwa kama mim
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.