Mmeishiwa hamna lolote.mbona hamkusema kitu wakati wa mkapa wakati wakuu wa mikoa walikuwa wawili tu waislam.ukiona mtu analalamikia udini yeye ndio mdini zaidi.Hamtaki kuongozwa na muislam kwa sababu mnafundishwa makanisani hivyo.mmezoea kuwaburuza waislam na favour kutoka serikalini sasa...
Hamna chochote huyu mzee cheyo inabidi aache siasa haziwezi,jitu bishi.hata hivyo mgodi north mara hauna athari yeyote asidi yenyewe kidogo,watafute sehemu nyengine yenye maji kwani lazima wayatumie yanayotoka north mara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.