Recent content by cradibility

  1. C

    'Papa wa Kanisa Katoliki Atakayefuatia Atatoka Afrika'

    Inawezekana kwani kanisa katoliki i kama ccm kazi yao kufisadi vitu.wanagombania kunywa wiski,kiongozi wa dini anakunywa pombe wamefulia kidini.
  2. C

    Islamic Groups Shut Down Worship of Church in Indonesia

    Inshallah mwenyezimungu atakuonyesha ukweli.mungu akusamehe hujui unenalo.punguza chuki za kidini.
  3. C

    Udini wa kutisha wizara ya ardhi

    achana nayo kwani wewe nani .watu wanazidi kujiandikisha.umefulia
  4. C

    Warioba amshangaa Kikwete kusema mpasuko ndani ya CCM ni kidogo

    Hana lolote anazeeka vibaya kafulia siasa
  5. C

    Udini Wizara ya Elimu

    Mmeishiwa hamna lolote.mbona hamkusema kitu wakati wa mkapa wakati wakuu wa mikoa walikuwa wawili tu waislam.ukiona mtu analalamikia udini yeye ndio mdini zaidi.Hamtaki kuongozwa na muislam kwa sababu mnafundishwa makanisani hivyo.mmezoea kuwaburuza waislam na favour kutoka serikalini sasa...
  6. C

    Barua ya Sakina ya kujiuzulu hii hapa

    Mengi ni mnafiki hana lolote hata maswala ya ufisadi anajitetea kwa wananchi wamuonee huruma.jitu zima kazi kulialia
  7. C

    Toyota lancruiser prado inauzwa

    nahitaji nina elfu mbili
  8. C

    Gadafi anafaa kuiongoza Afrika kweli?

    anafaa sana na ikiwezekana mungu ampe maisha marefu komandoo gadafi
  9. C

    Flora Nducha ameolewa na nani?

    hovyohovyo
  10. C

    Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

    Hamna chochote huyu mzee cheyo inabidi aache siasa haziwezi,jitu bishi.hata hivyo mgodi north mara hauna athari yeyote asidi yenyewe kidogo,watafute sehemu nyengine yenye maji kwani lazima wayatumie yanayotoka north mara.
  11. C

    Mbowe katika picha Bukoba

    Hamna chochote ccm watampa na yeye bahasha yake atakuwa kimya .huyu jamaa ni fisadi pia .
Back
Top Bottom