Habari,, kwa walio bahatika kusoma mkataba wa DPW & TZ,,,
Ikitokea mkataba umeanza kufanya kazi kama ulivyo,, ni faida gani tunaweza kupata kama taifa kwa ujumla na kwa mwananchi mmojammoja.....
TAJA faida hata moja unayoiona inaweza kupatikana endapo mkataba utaanza kufanya kazi...