Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,254
- 34,205
Najua kutakua na fidia za kulipa nikivunja huu mkataba, lakini ni bora nilipe fidia kuliko kuona naongoza nchi inayotumikia mkaba wa hovyo kama huu. Kama rais sintokua tayari kupata aibu ya huu mkataba.
Aliaza chifu mangungo sasa chifu hangaya anaturudisha kule kule.
Aliaza chifu mangungo sasa chifu hangaya anaturudisha kule kule.