Recent content by Couple Fundi

  1. C

    JamiiForums Tanzania MJADALA: Kusoma Engineering Tanzania ni kujipunguzia siku za kuishi

    Acheni kuufananisha uhandisi na mambo ya kijinga, hiyo dhambi itawatafuna kama ulisomea uhandisi na unajutia inabidi ukanyiwe maombi, eti naacha uhandisi nikasomee ualimu hebu kuweni serious kidogo wachangia mada
  2. C

    JamiiForums Tanzania Samuel Misago(EA Radio/TV) vs B-Dozen(Cloudz FM) nani zaidi?

    Acha kumfananisha B12 na mambo ya kijinga, na ni dhambi kumfananisha Fundi Adam mchomvu na huyo dulla, baba Jonny sio MTU hivi hivi tuu he's the best presenter ever
  3. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kuna Siri gani kwenye chips mayai/kuku kwa wanawake?

    N Kweli kabisa kiongozi , ila bado kwenye kiepe yai huwaambii kitu wakaelewa
  4. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kuna Siri gani kwenye chips mayai/kuku kwa wanawake?

    Ni ukweli usiopingika kuwa asilimia kubwa ya Dada zetu hupenda sana chips mayai, chipsi kuku Imefikia wakati wako radhi kula chakula icho hata Mara tatu kwa siku na hata mwezi mzima. Hivi kuna Siri gani kwenye kiepe yai kwa wanawake ? Mana wanapenda sana bidhaa hii. Na wengi wao kwenye kiepe...
  5. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ninatafuta mpenzi/mume nipo serious

    Duh hivo vigezo vyote unatafuta Mume au Sponsor??!
  6. C

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa shule alivyofumaniwa na mwanaume wa zaidi ya miaka 60 Tanga

    Huyo mtoto karuka viunzi vingi, tangu January!??
  7. C

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Mamlaka ya Rais yana ukomo

    "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" mwisho wa kunukuu, Tupende kujifunza watanzania kabla ya kuchangia hoja, nazani Lissu anajua anachokifanya mana ni expert wa sheria so ana maarifa hayo
  8. C

    JamiiForums Tanzania Kikwete alitumia uchawi gani?

    Ni heri upige pesa lakini maisha ya mwananchi yawe nafuu kidogo na hicho JK alikimudu kwa kiasi Fulani lakini kwa sasa mambo yamebadilika, kiongozi anabana matumizi lakini hatufaidiki na life inazidi kukaba koo, we miss U JK
  9. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Mke kamjaribu mume kwa kuchat naye katika mitandao ya kijamii, sasa mume hataki kumuona

    Amekipata alichokua anakitafuta
  10. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemjaribu mpenzi wangu kwa kumtongoza na namba ngeni kanikubalia

    Hongera sana mana umekipata ulichokua unakitafuta
  11. C

    JamiiForums Tanzania Waziri Nape: Nimevifungia vituo viwili vya radio ambavyo ni Radio 5 Arusha na Magic FM ya Dar

    Kama wao wanashindwa kufuata huo mwongozo na sheria vp kwa vyombo vya habari, nani atawagusa na wao ? Acha watupashe habari mkuu
  12. C

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema afikishwa mahakama Kuu kanda ya Arusha, apata dhamana

    All the best Mr. Lema, nazielewa sana harakati zake
  13. C

    JamiiForums Tanzania Waziri Nape: Nimevifungia vituo viwili vya radio ambavyo ni Radio 5 Arusha na Magic FM ya Dar

    Duh itafika kipindi vyombo vya habari vitakosa Uhuru wa kutupasha habari kwa kuogopa kufungiwa
  14. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadau msaada wenu tafadhali, I have a hard times

    Nasubiria part two mkuu
  15. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadau msaada wenu tafadhali, I have a hard times

    Movie iyo
Back
Top Bottom