Ningekushauri uanze na uji wa dona mwepesi mwepesi hadi akifika miezi kama 7 unaanza wa kuchanganya na nafaka nyingine, na uangalie usichanganye vitu vingi sana maana anaweza kupata allergy mtoto usijue ni kitu nafaka ipi haimfai.
Pia jaribu kuangalia unapo introduce new food kwa mtoto unampa...
Hata sio ugonjwa, wewe na huyo shem wetu hamjarelax , muwe munajiamdaa sio vikopo viwili tu vya castle basi anakimbilia kuingiza...foreplay muhimu jama!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.