Recent content by Cougar

  1. C

    Kisirani kwa wa dada wenye 30 and above

    mutant gene Sawa Basi nimeshasikia.
  2. C

    Picha: Bifu la Diva na Sintah, Wema aingilia kati

    Ayaaa zito nae kha! Hadi utume na email ili iweje?! Sasa sinta bibi na zito si atakuwa babu yako we diva hata huogopi baby?!
  3. C

    Naombeni sana msimpe ushirikiano wowote demu huyu kwa sababu anataka kuniingiza mkenge

    Ivi humu watu kumbe wanajua hadi kugeiana na mimba! Kiruuuu!
  4. C

    Naombeni sana msimpe ushirikiano wowote demu huyu kwa sababu anataka kuniingiza mkenge

    Hahaaa Miss neddy umeniacha hoi... Waambie watueleze vizuri kabisa!
  5. C

    25 Gorgeous Pools

    Am all in! Panga ratiba tu .
  6. C

    25 Gorgeous Pools

    Does the offer still standing?!
  7. C

    Uji mzuri wa watoto wanaotakiwa kuanza kula, mchanganyiko mzuri ni upi?

    Ningekushauri uanze na uji wa dona mwepesi mwepesi hadi akifika miezi kama 7 unaanza wa kuchanganya na nafaka nyingine, na uangalie usichanganye vitu vingi sana maana anaweza kupata allergy mtoto usijue ni kitu nafaka ipi haimfai. Pia jaribu kuangalia unapo introduce new food kwa mtoto unampa...
  8. C

    Ukavu sehemu za siri

    Hahaha The boss, hata Mombasa lazima awe na passport , lazma atakuwa nayo mpeleke mwenzio Paris.
  9. C

    Ukavu sehemu za siri

    Then acha pombe kabisa!
  10. C

    Kwenu wanawake: Kinachowapa raha ni ukubwa wa dushelele au ufundi wa mwenye dushe?

    Mmmh mwenzangu mie napenda kubwa...! Ufundi kila mtu anao.
  11. C

    Ukavu sehemu za siri

    Hata sio ugonjwa, wewe na huyo shem wetu hamjarelax , muwe munajiamdaa sio vikopo viwili tu vya castle basi anakimbilia kuingiza...foreplay muhimu jama!
Back
Top Bottom