mmmh mapya haya....nasikia wenye king'amuzi cha sasa hivi chenye antena kama ya zuku ndo wanaipata, ila wenye ving'amuzi vya zamani hawaioni mmmh! si cha kike hiki loh!!!!!!!!!!! TCRA kubalini mliingizwa chochoooo
NA HUYO MAMA AMEKUWA KIGEUGEU LOL! shame on you.....akiwa Afrika anajifanya anaelewa kila maelewano yaliyofanywa na waasisi baina ya Malawi na Tanzania akienda kwa MABWANA zake nje anageuka, nyambafffffffffffffffffffffffffff..........
10/06/2013
Taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu Star TV kujiondoa Star Times.
Tarehe 23 Mei 2013 Star TV kupitia mwanasheria wake iliwataka Star-Times kuiondoa kwenye kingamuzi chao ifikapo saa sita usiku wa tarehe 31Mei kutokana na kurusha na kuuza maudhui na vipindi vyake bila idhini na...
Wadau salaam,
Naangalia kipindi cha Tuongee asubuhi Star Tv. kuna mahojiano amefanya Ndugai na mwandishi wa star dodoma anadai kulingana na yale yanayoendelea kutokea bungeni ikiwemo matusi hakuna kanuni iliyokiukwa!!!!
Lakini kama haitoshi yupo mbunge wa siku nyingi ndani ya studio Leonard...
naamini kwa maana ya kipengele hicho kuanzishwa kilikuwa na lengo la kuibua changamoto na mwangaza wa nini cha kufanya juu ya changamoto hiyo ama kundi fulani la jamii mfano.watoto wa mitaani, ukosefu wa maji,kupanda kwa bei ya bidhaa etc..... wala si urefu ama kumprofile mtu kama kipindi cha...
wakati mwingine tuache kuwapa vichwa watu usahihi wao uko wapi? unaweza ukaweka bayana vurugu za CHADEMA ambazo wamefanya ni zipi kama si uonevu wa Jeshi la polisi kupinga kila wanachotaka kufanya mpaka kufikia machafuko na kuua watu wasio na hatia......HAPANA!!! hiyo TV inatumika vibaya kwa sasa
tru wanaoanisha eti tukio la mwangosi na maneno ya Dakta Slaa aliyoyatoa pale arusha mwaka jana tena wamekanukuu kasehemu kadogo tu kalipoongelea serikali ya kikwete yaweza isitawalike, jamani mbona hii televisheni ya taifa inafanya makosa makubwa kama hayooo!!!!!!!!!!!!!! INAUMA
ya ni kweli, kulingana na taarifa za hospitali ya sekotoure na Bugando na pia kulingana na mwanahabari wa Star Tv Rogerz William anaonesha kuwa bado kuna changamoto ya eneo la kumuhifadhi japo bado anahisiwa
lakni pia uwe unajisafisha kwa maji safi na kuingiza vidole vyako viwili kutoa ute ute wa ndani ambao ni mchafu wakati mwingine ni kutojisafisha vizuri kwa ndani.......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.