Recent content by corintho

  1. C

    Kutoka Bungeni: Fao la kujitoa halipo badala yake limeletwa fao la kutokua na ajira

    Na wabunge wakimaliza miaka mitano yao wasipewe hayo mamilioni yao wasubiri mpaka miaka mitatu kama wengine
  2. C

    Kutoka Bungeni: Fao la kujitoa halipo badala yake limeletwa fao la kutokua na ajira

    Tunapoenda Kuna kitu kitafuata hii nchi kweli hela ya mtu kweli mnampangia miaka mitatu nani atakuwa anailea familia ya huyo muhusika ngoja tutasikia
  3. C

    Mnaotumia matikiti mnalijua hili?

    Cocktail ya juice hiyo
  4. C

    SAMATA: Atapotea kwenye Soka

    Maana ya kuwa mfungaji nini? Watanzania nifunzeni kupenda vya kwenu hakuna mfungaji anayefunga Bila kuvizia
  5. C

    Nahitaji kutumia laini mbili kwa WhatsApp moja

    Ndo ninayo fanya na ninatumia lini mbili mpaka sasa
  6. C

    Nahitaji kutumia laini mbili kwa WhatsApp moja

    Akiwa kwenye whatsup asilog out so anachokifanya ni kubadilisha network ya laini za simu tu kaka ni simple
  7. C

    Tujipongeze kwa vikosi imara na vya nguvu vya jeshi la polisi

    Mazoezi ya kuruka sarakasi kweli mnabebana utampiga mwizi kweli Hahaha
  8. C

    Kwa mara ya kwanza napingana na Serikali... Acheni CHADEMA waandamane!

    Hivi wakakati unaandika mada ulikuwa mzima kweli na pia kama unafuatilia siasa angalia marekani donald trump anavyoongea mambo ya ajabu lakini umesikia Kuwa wanamkata kugombea uraisi ama Chama chake kukatwa
  9. C

    2pac kapoor wa india

    Hahahaha hahahaha hahahaha
Back
Top Bottom