abuu msakati
Member
- Jul 22, 2016
- 32
- 11
labda utumie lain moja kwa whatsap mbili mkuuHabari zenu wakuu, naomba kujuzwa au kuelekezwa namna ya kutumia laini mbili za mitandao tofauti kwenye simu moja, mfano nipate sms zote za magroup ya laini hizo kwa muda mwafaka, natanguliza shukrani.