Nahitaji kutumia laini mbili kwa WhatsApp moja

yaani mimi natumia smartphone ya line moja na kitochi lakini whatsapp zote zipo hewani zaidi ya miaka miwili sasa na meseji napata kwa wakati bila matatizo,wewe ndio unauliza leo?
ama kweli teknolojia imewachelewa sana mkuu!
 
Habari zenu wakuu, naomba kujuzwa au kuelekezwa namna ya kutumia laini mbili za mitandao tofauti kwenye simu moja, mfano nipate sms zote za magroup ya laini hizo kwa muda mwafaka, natanguliza shukrani.
Dowanload "parale space" utaweza kutumia kila accout double
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom