Tujipongeze kwa vikosi imara na vya nguvu vya jeshi la polisi

hawana lolote mara kibao vibaka wanawapora bunduki tena unakuta wana bisbis Na vitu butu

Si Tanzania tu, ambapo wahalifu/ vibaka wanatumia visu, bisibis kutekeleza uhalifu. Ni Mara ngapi tumesikia USA, Ujerumani na UK. Mauaji ya kutumia vifaa hivi hivi, na hata mabomu na silaha zingine licha yakuwa ndo nchi ambazo zinauwezo mkubwa katika kila nyanja,
 
Nimeangalia comment lakin kwa kidogo silisapot cos tunaona jins gan askari wanavyopambana na majambaz, hiv nyie mmeshawah kwenda front kujibzana na majambaz? Ebu cheki ilivyokawa mwanza na sasa, cheki ilivyokawa arusha na sasa, cheki dar na sasa kwa hili sisapot coz japo ndio wanamapungufu mengi lakn ukiangalia kwa umakini utaona juhud zao wale jamaa na kwa uchunguz niliofanya km endapo jeshi la police lingekuwa linafanya kaz km idara nyengne kuanzia asbh mpk jion cjui ingekuwaje lkn wapo uck na mchana hiv hiv majambaz yote yaliouliwa dar, mwanza, tanga, arusha, na sehm nyingne raia gan alienda front? sikatai vipo ambavyo vinafanywa na jeshi letu ambavyo c sahih lkn c kwa upende wa ulinzi na mapambano na majambazi kwa hili nawapongeza saaaana, hiv haujiuliz ujasiri gan wa kwenda kupambana na mwenzio mwenye akili km ww tena mwengne anamafunzo km yako lkn wanajitoa muhanga cc raia hakuna anayethubutu mashine ikilia nje ndo kwanza unaingia vungun.
laiti hawa wachangiaji wangesoma comment yako najua wengi wanaokejeli ni wale hawajawahi kukumbana na kadhia ya yoyote akaomba msaada polisi kusaidiwa au ni wale ambao usiku kalala tu na kuamka asubuhi kuko shwari kumbe kuna watu wanakesha usiku kucha kwenye doria kuwalinda wao just imagine askari unaambiwa kuna tukio sehemu na yeye bila kuhoji anachukua bunduki anaenda kupambana na majambazi akijua kuwa kwa bahati mbaya na uhai wake unaweza kutoka palepale...watanzania tuache siasa hata hawa UKUTA hawana nia njema na nchi zaidi ya kutafuta huruma
 
Uimara wao wanazidiwa na wale manyambisi wa pikipiki za boxer daily wanamimina njugu kwa ndugu zetu
 
Ndo kwanza matukio ya ujambazi yakifululiza vituo vya polisi vinafungwa saa moja jioni, kuna jamaa pia walishawahi kuingia kituo cha polisi wakaiba silaha..... Hawa ni waigizaji tu
kuna rafiki yangu askari hajaoa ngoja nifanye mpango muoane ili pale askari wa kike akikosekana na wewe uta be pressumed kama askari wa kike nadhani biased mind itaisha in short vipo vituo vidogo vinafungwa jioni kwa kutokukidhi hadhi ya madaraja ya vituo vinavyopaswa kufanya 24 hrs just contact your local police upate maelezo yake
 
Nimeangalia comment lakin kwa kidogo silisapot cos tunaona jins gan askari wanavyopambana na majambaz, hiv nyie mmeshawah kwenda front kujibzana na majambaz? Ebu cheki ilivyokawa mwanza na sasa, cheki ilivyokawa arusha na sasa, cheki dar na sasa kwa hili sisapot coz japo ndio wanamapungufu mengi lakn ukiangalia kwa umakini utaona juhud zao wale jamaa na kwa uchunguz niliofanya km endapo jeshi la police lingekuwa linafanya kaz km idara nyengne kuanzia asbh mpk jion cjui ingekuwaje lkn wapo uck na mchana hiv hiv majambaz yote yaliouliwa dar, mwanza, tanga, arusha, na sehm nyingne raia gan alienda front? sikatai vipo ambavyo vinafanywa na jeshi letu ambavyo c sahih lkn c kwa upende wa ulinzi na mapambano na majambazi kwa hili nawapongeza saaaana, hiv haujiuliz ujasiri gan wa kwenda kupambana na mwenzio mwenye akili km ww tena mwengne anamafunzo km yako lkn wanajitoa muhanga cc raia hakuna anayethubutu mashine ikilia nje ndo kwanza unaingia vungun.
Bro au we ni askar nn?maana cc tunachokiona majambazi wote wanaokamatwa hostory inaonesha waliuwa askar hadi asakar afe ndo unaliona jesh la polisi linaingia front na utasikia wamekamata majambaz lakini kawaida tu huwwzi kusikia zaid ya "uchunguzi unaendelea nawatoa hofu wananch"..hayo ni matisho kwa raia waoga kama sie ili kuhofia kidai haki za msingi
 
Si Tanzania tu, ambapo wahalifu/ vibaka wanatumia visu, bisibis kutekeleza uhalifu. Ni Mara ngapi tumesikia USA, Ujerumani na UK. Mauaji ya kutumia vifaa hivi hivi, na hata mabomu na silaha zingine licha yakuwa ndo nchi ambazo zinauwezo mkubwa katika kila nyanja,
nawaongelea hawa polisisiem wako unaowasifia tatizo hawa jamaa ni wengi wao ni washirika wa wahalifu siwaamini na siwezi kuwasifia kamwe nawajua vizuri hawana lolote
 
Nimeangalia comment lakin kwa kidogo silisapot cos tunaona jins gan askari wanavyopambana na majambaz, hiv nyie mmeshawah kwenda front kujibzana na majambaz? Ebu cheki ilivyokawa mwanza na sasa, cheki ilivyokawa arusha na sasa, cheki dar na sasa kwa hili sisapot coz japo ndio wanamapungufu mengi lakn ukiangalia kwa umakini utaona juhud zao wale jamaa na kwa uchunguz niliofanya km endapo jeshi la police lingekuwa linafanya kaz km idara nyengne kuanzia asbh mpk jion cjui ingekuwaje lkn wapo uck na mchana hiv hiv majambaz yote yaliouliwa dar, mwanza, tanga, arusha, na sehm nyingne raia gan alienda front? sikatai vipo ambavyo vinafanywa na jeshi letu ambavyo c sahih lkn c kwa upende wa ulinzi na mapambano na majambazi kwa hili nawapongeza saaaana, hiv haujiuliz ujasiri gan wa kwenda kupambana na mwenzio mwenye akili km ww tena mwengne anamafunzo km yako lkn wanajitoa muhanga cc raia hakuna anayethubutu mashine ikilia nje ndo kwanza unaingia vungun.

Mwanza walikaa masaa 16 wakishirikiana na JWTZ lakini akupata jambazi ata moja.
Kule Tanga nako hayohayo walizunguka lakn awakuambulia kitu.
Kule Mwanza jambazi liliwatoroka Police kiulaini.
Vituo vya polis vinavamiwa na silaha zinaibiwa.
Polisi wananyang'anywa silaha kiurahisi.
Sijui unawapongeza police wapi hao?
 
hakuna tunacho shangaa wala kuona kama miujiza,ni watanzania wachache sana wasio jua police brutality mara ngapi raia wema wamefia mikononi mwao,mara ngapi wamekuwa watoa hukumu badala ya mahakama..!!jinsi wanavyo pita nakutisha raia wanazidi kudhihilisha kuwa police tanzania hawajawahi kuwa walinzi wa raia na mali zao..!!Nakili kuwa serikali ilioko madarakani kupitia chama cha mapinduzi they didnot deserve to rule again,kushindwa kutawala kuna alama na dalili nyingi

“The Union is much older than the Constitution. It was formed in fact, by the Articles of Association in 1774. It was matured and continued by the Declaration of Independence in 1776.”
— March 4, 1861 – Lincoln’s First Inaugural Address
 
Polisi uchwara. wakisikia panyaroad watakimbia waache hizo silaha zao! polisi wa siku hizi wavaa vimodel na kula chips mayai ya bure!
 
Jeshi imara halichukui vifaa store na kuvitembeza mitaani ili kuwapiga mikwara wananchi wake.
Jeshi imara ni lile linalifanya kazi bega kwa bega na wananchi wake kutatua matatizo ya kihalifu kwenye jamii husika.
Umenena vyema, jeshi la watawala hufanya hivyo kuwafurahisha watawala. Watu wanavamiwa na majambazi wanauawa, wanaibiwa magari, vibaka wakabaji wamejaa, madawa ya kulevya kila kona hawana lolote wafanyalo ilihali ndio kazi yao fundamental. Hata ukitoa taarifa na kufungua jarida hakuna litakalo fanyika sana sana utaombwa rushwa na mwisho wa siku utaambiwa file limepotea.

Ila kutisha Watu na kuonyesha silaha na mikwara kila kona ya nchi hiyo wanaona ndio jema la kufanya
 
Kuwa na silaha nzito ni sahihi cos km unafuatilia vizuri jeshi la polisi ni jeshi linalolinda raia na mali zake lakin pia ndiye mdhibiti wa matukio ya ndan km ugaidi ikishindikan ndo wanasaidiwa na jeshi la wananchi kwahiyo zile zinaitwa zana za msaada lazma ziwepo ni kwa tahadhari kwa mambo ya kigaidi elewa hivyo kaka sidhan km umeshawahi kuona ktk maandamano au vurugu zzte ndogo askari kaenda na rocket au ant aircraft machine gun au zinazofanana na hizp[/
 
Mkuu Just for myself, silaha za msaada ziko kwenye "combat formations" tena kwenye "infantry operations". Polisi hawana wala hawafundishwi combat formations, za kwao ni "riot orders". Approach ya kuzuia ugaidi ni tofauti na hiyo ya polisi na inahusisha idara mbalimbali za serikali. Na kila nchi ina "approach" tofauti kuzuia ugaidi
 
Nafiikiri kila mmoja ameshuhudia tambo na advertise za jeshi letu tukufu la polisi, binafsi nimeshangaa kuwa tuna jeshi imara lenye vikosi kila pembe ya nchi na silaha madhubuti! swali langu ni kwanini hivi vikosi uwa havijitokezi pale tunapovihitaji mfano katika sekeseke la panya road, uhalifu wa kutumia silaha, madawa ya kulevya, ugaidi kule amboni na matukio mengine ya aina hiyo? kinyume chake vikosi hivi vinajitokeza wakati wananchi wametulia na wanafanya kazi zao bila tatizo?
Mkuu unawasema polisi hawahawa wanaoibiwa mpaka silaha tena vituoni...hahaaaaaaah
 
Hili ni jambo la kawaida sana, tuliona Kenya juzi wakiandamana kushinikiza tume ya uchaguzi ijiuzulu lakini walikimbizana na polisi, tuliona Marekani juzi wakiandamana kupinga mauaji ya watu weusi lakini walikimbizana na polisi, tulionana juzi Ethiopia wakiandana kabila moja kupinga kubaguliwa na serikali lakini walikimbizana na polisi.Kwa hiyo ni jambo la kawaida sana tena wenzetu wanarushia polisi mawe na kupigana nao.Kuhusu UKUTA polisi watakabiliana waandamanaji watakaodaai haki yao ya kufanya siasa kwa mujibu wa katiba ya nchi na serikali kukubali kukosolewa.Hili nafikiri Chadema wanalichukulia kama jambo la kawaida sana na wanalitegemea na ndio maana wanawaona polisi kama waandamanaji wenzao tu.

Mimi nashangaa wanaoshabikia "sijui mtavunjwa miguu, sijui mtang'olewa meno, sijui mtaota manundu" Nadhani ni kutisha tu wale wasiojua ni maana ya haki zao kwa mujibu wa katiba ya nchi, Ni uoga mkubwa kabisa kwa maana haya mambo hayajazoeleka nchini kwetu.


Angalizo tu kwa polisi wetu!

Wakabiliane na waandamanaji kwa weledi kama walivyofundishwa kwa mujibu wa taratibu zao, hawa Chadema sio majambazi wala magaidi na wala sio wakaidi bali wataandamana kwa amani tu.


Akakayeua mtu naye atawajibishwa kwa mujibu wa katiba ya nchi, muuaji hawezi kuachwa kamwe! Pia wakumbe kua Chadema wanao wanasheria nguli wa chama zaidi ya 100 watakaoshugulikia haya ya haki za watu wao! Polisi msikubali kutumiwa na wanasiasa, watawaponza ninyi na familia zenu! Machafuko ya kisiasa si jambo dogo hata kidogo.
 
Nafiikiri kila mmoja ameshuhudia tambo na advertise za jeshi letu tukufu la polisi, binafsi nimeshangaa kuwa tuna jeshi imara lenye vikosi kila pembe ya nchi na silaha madhubuti! swali langu ni kwanini hivi vikosi uwa havijitokezi pale tunapovihitaji mfano katika sekeseke la panya road, uhalifu wa kutumia silaha, madawa ya kulevya, ugaidi kule amboni na matukio mengine ya aina hiyo? kinyume chake vikosi hivi vinajitokeza wakati wananchi wametulia na wanafanya kazi zao bila tatizo?
Udikteta ulisemwa na watu kufunguliwa mashtaka na kesi zipo mahakamani.

Kinachoendelea leo kati ya polisi na serikali dhidi ya CHADEMA ni sawa na watu wakutuhumu kuwa wewe ni muuaji; uchukie wao kukuita muuaji uamue kuwaua.
 
Nafiikiri kila mmoja ameshuhudia tambo na advertise za jeshi letu tukufu la polisi, binafsi nimeshangaa kuwa tuna jeshi imara lenye vikosi kila pembe ya nchi na silaha madhubuti! swali langu ni kwanini hivi vikosi uwa havijitokezi pale tunapovihitaji mfano katika sekeseke la panya road, uhalifu wa kutumia silaha, madawa ya kulevya, ugaidi kule amboni na matukio mengine ya aina hiyo? kinyume chake vikosi hivi vinajitokeza wakati wananchi wametulia na wanafanya kazi zao bila tatizo?

Hata siku moja sipongezi au kushobokea maigizo !!! Na waziri wao alivyo msanii, tutayaona mengi !!
 
Back
Top Bottom