Recent content by Converse

  1. Converse

    PSRS: Majibu ya Maswali na Hoja za wadau, Desemba 2014/Januari 2015

    Napenda kufahamu majina yaliyobaki kwenye data base ya serikali huishiwa nguvu ( Expire) baada ya muda gani baada ya wasailiwa kuitwa kazini Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Converse

    Je, Bongozozo ana nia iliyojificha?

    Nimewahi kumsikia akijibu swali kuwa anafanya baishara ya hela za zamani.. Hakuna mapenzi ya haraka haraka hivyo.. Jamaa lazma kutakuwa na mchongo anautafuta
  3. Converse

    Imebainika kwa nini nafasi za uwenyekiti wa mitaa zinapiganiwa kiasi kwa nguvu zote

    Maeneo mengine hicho unachokizungumza hakipo mkuu.. Mfano issue ya taka huku kwetu unapewa na receipt ya mashine .. Ulinzi shirikishi tunajilinda wenywe.. Waliokuwa wengi kwenye uchaguzi huu wanaandaa mazingira ya udiwani 2020...
  4. Converse

    UKIMWI unavyotafuna vijana

    Changamoto kubwa inayotusumbua na hasa kundi hili la vijana ni UAMINIFU ktk Ndoa zetu ama mahusiano ya kawaida.. Pia wengi wetu bado hatutaki kuamini kuwa Ukimwi unaua.. Kijana Mwenzangu Ukimwi upo na unaua saaana..
  5. Converse

    Lissu: Nitakutana na viongozi wa Serikali na wabunge wa Marekani

    Bora muheshimiane na nani.. Yakaharibika tutaisoma wote namba.. Huyu hana nia nzuri na taifa hili
  6. Converse

    NAOMBENI USHAURI: Nimempa mimba, sikujua kuwa ni mke wa mtu

    Mimba anayo yeye Kiraruraru upate wewe mbona unatuchanganya mzee baba.. Ushasema mke wa mtu we jiandae kutoa jina tu make mwenye kulea mimba ashapatikana
  7. Converse

    Secretariat ya Ajira ina chembe chembe za Rushwa ifumuliwe

    Make nilifanya usaili ktk shirika moja kubwa tu nchini mwishoni nikala KO.. Lakini kwenye matokeo ya written nilikuwa miongoni mwa top 6 kati ya watu 221 tuliofanya usaili.. Je niendelee kusubiri labda ipo siku Data base itanifikiria au imekaaje hii... Make nshajikatia tamaa na ajira za serikali..
  8. Converse

    Secretariat ya Ajira ina chembe chembe za Rushwa ifumuliwe

    Naomba nipatiwe msaada kwenye hili... Naambiwa endapo unakuwa umekosa nafasi jina lako litaingizwa kwenye Kanzi data (Data base) kwa mahitaji ya badae kama nafasi zikipatikana ktk taasisi husika.. Swali langu.. Majina yote yaliyopita kwenye usaili wa Written Ndio Pekee yanayoingia kwenye data...
  9. Converse

    Emergency..! Waungwana ebu nisaidie hili nilimalize Kwa sasa. nakosa usingizi kabisa

    Haahaaa kodi ya nyumba unatafutia humu mkuu.. Mbona ni kama umeenda mkopo Magereza
  10. Converse

    Wakenya 6 wanaoshiriki sherehe za JAMAFASET Dar, wametoroka

    Wamenogewa na Papuchi za Manzese.. Hao watarudi kwao na STD iliyostaafu
  11. Converse

    Sitaomba kazi tena, wacha niwe jeuri tu!!

    Mwaka mmoja huu ndo unakata tamaa... Acha masihara we jamaa... Tena tubu sana kwa Mungu...
  12. Converse

    Kajenga katika kiwanja cha mwanamke kinachomtokea utamhurumia

    Hao watoto non stop hizo papuchi watatoa bure.. Mkopo umemkalia kooni atawapa nini... Watoto wa sasa wanajulikana mzee hatoi papuchi mpaka mmekaa mezani kama kamati..
  13. Converse

    Sitaki tena ajira Bandari

    Umeandika uchafu usioelezeka.. Rudi nyuma view attachment nilizotuma then utajua sio unakuja kuandika matope kama P***nga
  14. Converse

    Sitaki tena ajira Bandari

    Usikurupuke huko ulipotoka.. Wenye akili timamu wanajua nimeandika nini.. Rudi nyuma view attachment zilizopo ndo uje uulize
Back
Top Bottom