Oii
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 3,930
- 3,129
Nyinyi endeleeni kuota, sio vibaya kuotaLissu Ndiye Rais Ajaye Wa Tanzania Mtake Msitake' Wakala Wa Mabeberu Ni Ccm Na Magufuli Waliouza Nyumba Za Umma Zaidi Ya 8000, Wakauza Madini Miaka Nenda Miaka Rudi, Wakauza Gesi, Wakaifilisi Tanesco Kupitia IPTL, RICHMOND na DOWANS.
Eti Unapambana Na Ufisadi Unawachekea Kipara Na Jk Unafiki Mtupu.
Kuna Siku Tutawashugulikia.