Badala ya kusubiri Serikali Kwanini sisi wananchi tusianze kuonyesha tunachohitaji? Kwanini wananchi tusijitolee kusaidia Hospitali ambazo tayari zipo uwezo wa kutoa huduma? Kwanini kila kitu tusubiri serikali?
Miaka imebadilika, vijijini wengi wapo mjini. Huu uchaguzi utawakumbusha viongozi wa nchi kuwa wenye nguvu sio wao Bali ni Wananchi. Lissu atashinda na kwa pamoja tutaupigania Ushindi wake.
Sasa msiokunywa mnajiona Jesus sana. Mnajifanya mnaijuuua Future utadhani nyie matajiri. Tusifokeane. Bila Pombe si ajabu usingezaliwa. Hebu kuwa na adabu.
Wewe ulikuwepo wakati hayo maneno yanaandikwa? Kama Fedha na Dhahabu ni Mali ya Bwana kwanini kanisani vito hivi hubadilishwa kuwa Fedha?
Na pia ni nani huvipokea? Kisha kuvipokea hivifanyia nini?
Vyakuambiwa, changanya na vyako.
Kwasababu pande hizi mbili Utajiri unatafsir tafauti. Upande wa Hela ni upande wa Shetani, kwamaana wao wanamiliki pesa, kwa maaana ya noti na thamani ambayo wao wameipa, upande wa pili ni Mwenyezi Mungu na yale yote makubwa kulipo pesa kwa thamani yake. Unaweza kuwa successful lakini usiwe na...
Yupo mdada wa kazi.
Japo sipati shida kufanya hayo kwa Familia yangu.
Tatizo ni pale mnapogombana kidogo Halafu upande wa pili una behave as if I have done nothing at all. As if sina umuhimu wowote.
Na hapo hapo ananijaribu kupitia mwanangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.