Durability na Costs,, kitanda cha mninga kizuri labda 8x8 ft unaweza kuta zaidi sh 750,000 to 1 mln
naamin ukipata fund mzr wa zege na form work hiki cha zege kitakuwa chini zaidi may be 300,000
Hongera zake, wazo zuri sana,, finishing iwe maridadi tu na ange cast zege juu ya plastic carpet ili kihamishike katikati ana cast top ya zege iweze kutoka na kurudi, kitanda kizima iwe vipane 5 vya zege vyote kila kilmoja kina kitako chini kivito isipokuwa tu top
Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada!!!
Nissan Atlas Truck tani 1.5 Pick up ilikuwa inalipiwa ushuru sh 5,662,000= leo
Calculator ya TRA sh 13,224,989= (CIF 3,665 USD)
Mbaya zaidi tayari nilishalipia gari iko njiani kwa ushuru niliouona nakuuhakiki...
Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada ! ! !
Nissan Atlas Truck tani 1.5 Pick up ilikuwa inalipiwa ushuru sh 5,662,000= leo
Calculator ya TRA sh 13,224,989= (CIF 3,665 USD)
Mbaya zaidi tayari nilishalipia gari iko njiani kwa ushuru niliouona na kuuhakiki...
WHO ARE THEY ? Educated, Skilled, Experienced Corporate CEO's In Tanzania compare to our neighbors ?
Moja ya changamoto kubwa tulionayo kwenye maendeleo ya ujasriamali hatimaye uchumi ni kukosekana kwa hawa watu muhimu (local content)kwa ngazi ya kitaifa na wawe kama role models kwa jamii...
Kama anapenda kufanya biashara, atafute fursa zilizopo na rasrimali anazoweza kupata na KUANZA TU kwa namna yeyote anzia padogo ukilenga PAKUBWA hakika atafika.
Unaweza kuniuliza hapa na nitajitahidi kukusaidia kadri ya uwezo wangu, ikibidi tutatafuta namna ya kukutana kwa nafasi pana zaidi, mm ni mtaalam kiasi changu na uzoefu pia kwenye uwekezaji wa Fedha(Financial Management and Investments), Biashara (hardware, transport, Microfinance n.k)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.