Naomba kufahamishwa kuhusu kilimo cha ufuta,,,mbegu nzuri ni ipi inayoweza kustawi meneo ya uvinza kigoma lakini pia mbegu hiyo iwe inakubalika sokoni,,kipindi kizuri cha kupanda ni kipi? Je,mahitaji mhimu katika zao hilo ni yapi,,ambapo mahitaji hayo yakizingatiwa mavuno yatakuwa mazuri...