chadema wanataka wao wapewe kiti cha peke yao official opposition hawataki kuchanganywa na wapinzani wengine so wameamua watatoka nje tena hahaha chama cha kususa susa hovyo!
Nothing went wrong, its all about strategies, what happened to prof.Baregu? how about Prof.Wangwe? Komu is going to win this evening, wait you shall see.
CDM hawakutaka kuji-involve sana katika issue hii kwa sababu wana shughuli kubwa ya kuwasha mioto ndani ya chupi za magamba kitu ambacho kinatoa matokeo yake na faraja na mafanikio makubwa katika kukimarisha chama. After all Mbunge mmoja wa CDM katika EALA ataongeza nini katika ukuaji wa chadema, na akikosekana atapunguza nini? sasa hivi Chademna wamesha panga priorities zake.
Pili, CCM ambao ndiyo majority Bungeni hawawezi kumchagua mtu wa Chadema iwapo nafasi inagombewa pia na vyama vingine vya upinzani. Na hii iumekuwa kawaida yao tangu ujio wa vyama vingi -- hata wakati wa CUF wakiongoza kambi ya upinzani Bungeni, watu wao walikuwa hawachaguliwi kamwe katika vinyang'anyiro vya namna hiyo. Kwa mfano uenyekiti wa PAC na LAAC ni wa kutoka vyama vingine vya upinzani na siyo kile kikuu cha CDM.
Sote tunakumbuka katika kinyang'anyiro cha kuwania nafasi hizo kwa Bunge hili kwa roho zao mbaya ilibidi watoe tafsiri mpya ya 'kambi ya upinzani bungeni' ili tu kuhakikisha Chadema wanakosa kusimamia nafasi hizo. Ile ya POAC tuliambiwa JK alishinikiza kwa Spika Zitto aipate.
Thread za namna hii huanzishwa kwa lengo la kujaribu kutafuta hoja ya kuibana Chadema hasa wakati huu moto wake unavyozidi kuenea kwa kasi kama moto wa nyikani.
CDM hawakutaka kuji-involve sana katika issue hii kwa sababu wana shughuli kubwa ya kuwasha mioto ndani ya chupi za magamba kitu ambacho kinatoa matokeo yake na faraja na mafanikio makubwa katika kukimarisha chama. After all Mbunge mmoja wa CDM katika EALA ataongeza nini katika ukuaji wa chadema, na akikosekana atapunguza nini? sasa hivi Chademna wamesha panga priorities zake.
Pili, CCM ambao ndiyo majority Bungeni hawawezi kumchagua mtu wa Chadema iwapo nafasi inagombewa pia na vyama vingine vya upinzani. Na hii iumekuwa kawaida yao tangu ujio wa vyama vingi -- hata wakati wa CUF wakiongoza kambi ya upinzani Bungeni, watu wao walikuwa hawachaguliwi kamwe katika vinyang'anyiro vya namna hiyo. Kwa mfano uenyekiti wa PAC na LAAC ni wa kutoka vyama vingine vya upinzani na siyo kile kikuu cha CDM.
Sote tunakumbuka katika kinyang'anyiro cha kuwania nafasi hizo kwa Bunge hili kwa roho zao mbaya ilibidi watoe tafsiri mpya ya 'kambi ya upinzani bungeni' ili tu kuhakikisha Chadema wanakosa kusimamia nafasi hizo. Ile ya POAC tuliambiwa JK alishinikiza kwa Spika Zitto aipate.
Thread za namna hii huanzishwa kwa lengo la kujaribu kutafuta hoja ya kuibana Chadema hasa wakati huu moto wake unavyozidi kuenea kwa kasi kama moto wa nyikani.
I agree with you hii ni sababu ya kujaza UCHAGGA na kujidai wanajua kila kitu!
Mkuu Marksman: Nadhani umewamaliza hawa wanaojifanya masimpathisers wa CDM kumbe wanafiki tu. CDM ina kazi kubwa mbele yake, siyo kupoteza muda kwenye kitu ambacho CCM wataweka fitina ili CDM ikose kiti. Wanaochagua ni majrity wa CCM Bungeni. Angalau uchaguzi ungekuwa unafanywa na wapiga kura woote.
For all prractical purposes CCM is finito!
I have been watching the election for East African Legislative Assembly today, but it seems CHADEMA was caught unaware, they did not groom very competent candidate to represent the party,Anthony Komu tried his best but according to my opinion NCCR Mageuzi has the best Candidate to represent us in EALA for opposition side.
I always put my country first , Therefore let us take this as a challenge to all members of CHADEMA and our leaders to learn from this mistake.
Why CHADEMA did not motivate and give more information to the general public so that a lot of our competent members from CHADEMA represent THE party, It was really a shame to CHADEMA today and we deserve answers from party top brass why they did not motivate and groom competent members?
All in all a lot of credit to NCCR-MAGEUZI, I am impressed with their candidate and i hope Madam PERPETUA NDERIKO and Polisya Mwaiseje will be elected.
May God Bless our Country
Ila kuongea na kutenda tofauti sana. Nadhani taaluma ya Antony Komu ni ya muhimu zaidi EALA kuliko Mama Kessy Japo mama kajieleza vizuri sana
Sio kweli watu walijulishwa na uchaguzi ulifanyika sema tu watu wengi wazuri walikataa kuomba wakijua ccm itawapiga chadema chinikweli tunahitaji maelezo ya kutosha kuhusu hili swala, cdm hawakuliweka hadharani mapema na ku-encourage members ku-contest, matokeo yake wanatuletea mtu ambaye not competent enough, hii ni aibu kwa chama makini.
Before complaining, we better understood the modus operandi of that election. Voters are MPs' of whose over 75% are from CCM. It is very unfortunate for them to vote for representative from CDM which is the CCM's greatest rival. Refer alike election done 2007, despite of the fact that Prof. Baregu was the best, CCM elected Dr. Masha of UDP. The same reflaxe shall be in this election.I am very disappointed with CHADEMA leaders, they need to be accountable for this strategical mistake, i know CHADEMA can do better than this to project a good image of the party, All hopes and dreams of so many Tanzania are with CHADEMA but they have let our country down on this. AND I URGUE Mnyika or Dr Slaa to explain to us what really happened?
Before complaining, we better understood the modus operandi of that election. Voters are MPs' of whose over 75% are from CCM. It is very unfortunate for them to vote for representative from CDM which is the CCM's greatest rival. Refer alike election done 2007, despite of the fact that Prof. Baregu was the best, CCM elected Dr. Masha of UDP. The same reflaxe shall be in this election.