Kwanini uliwaacha mpaka waondoke bila kutoa taarifa Polisi au Uhamiaji?
Mtu yeyote unaomtilia shaka, unapaswa kutoa taarifa katika vyombo vya sheria ili sheria ichukuwe mkondo wake.
Na swala la madawa ya kulevywa ni la chama au la jinai?
Maana naona watu wanawatetea wanaotuhuniwa kuhusika ktk madawa ya kulevya kwa namna moja au nyingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.