Recent content by consmary

  1. consmary

    Madai ya vifaa vya ujenzi kupanda bei: Mtaani kwako hali ikoje?

    Bei zilizokuwepo mwezi june mwaka jana ukilinganisha na bei kuanzia dec.mpaka leo hii duuuuh ni hatari mfano cement ilikuwa 11500,mpaka 12000 leo hii 13500 simba cement na 14000 twiga unaweza kushangaa ukiamka imefika 15000
  2. consmary

    Mpenzi wangu anapenda kuomba pesa nimemwambia ukweli kanuna

    Siku nyingine usimsimange kwa sababu ya 2000 aliyokuomba,Mwanaume umeumbiwa kula kwa jasho!
  3. consmary

    Ni aibu mdada kuwa na rangi fanta coca kisa mkorogo

    Mi hata siwaelewagi wanawake wenzangu sijui huwa wanajisikiaje wanapojiangalia kwenye kioo wamekuwa weupe ilihali ni weusi Kiuhalisia!
  4. consmary

    Tunafua Nguo kwa Mashine za kisasa Ubungo, Sinza, Tabata, Mabibo .. Home Delivery

    Bei zenu nzuri,kuna jamaa huku wajinga kweli,nilipeleka blanketi eti wanapima kwa kilo ndo wanakutajia bei!
  5. consmary

    Asilimia kubwa ya Askari wa kike hawafai kuwekwa ndani kama mke

    MA "AFANDE" mbona kazi wanayo,sio kwa kuwachafua huko! Mbona wengine wana ndoa imara tu hamuwasemei! Poleni maafande wenye tabia njema.kazi yenu inawaponza maana naamini wenye tabia njema wapo! Binadamu kamwe hawawezi kufanana! Poleni sana dada na mama zangu...
  6. consmary

    Msaada: Kutokwa na madonge ya damu baada ya kunywa p2

    Dalili zote hizo ni za mimba totaly,lkn mmeshaiharibu tayari, isitoshe hizo dawa humezwa dani ya masaa 72 baada ya tendo kufanyika ili kuzuia fertilization.lkn kaka wifi yetu kama bado hajazaa basi aachane kabisa na dawa zinazozuia fertilization kama hizo P2,sindano,na njia zingine za uzazi wa...
  7. consmary

    Jinsi yakumsahau mtu uliye mpenda

    Inaonyesha bado unampenda ndo maana inakuwia vigumu kumsahau.mimi nilitendwa na mtu niliyekuwa nampenda sana.niliumia kuliko kawaida lakini nilivyoamua kuachana naye niliwaza mabaya yake tu nikamsahau kabisa kinachonisumbua ni sugu moyoni tu. Inaonyesha wewe umemuacha ilihali unampenda ndo maana...
  8. consmary

    Jinsi yakumsahau mtu uliye mpenda

    Jitahidi usikumbuke jema lake hata moja.fikiria mabaya yake tu utamsahau
  9. consmary

    Tatizo la uhusiano mbovu kati ya mke na ndugu zangu

    Mwanamke anapigwa kwa upande wa kanga
  10. consmary

    Kwa mahitaji ya Logo Classic ya Company/Biashara yako na business Cards za kuendana na hadhi yako pitia hapa

    Kazi nzuri nimemuona school mate wangu hapo manala tabu!
  11. consmary

    Share Idea yako unayotumia kuweka akiba

    Tupe maelezo kidogo mkuu kuhusu hii njia pengine inaweza kufaa!
  12. consmary

    Watato wakiniona huwa wanacheka sana na kunizoea hata niwe mkali

    Mimi nasumbuliwa na vitoto vya majirani zangu hapa,yaani sijui hata vinanipendea nini maana vikiniona tu vinaniganda mpaka naenda navyo kwangu,sometime vinaanza kulialia viletwe kwangu na mimi muda huo nataka kupumzika basi tabu tu! Na vikija kwangu wala havitulii utavisikia tu jirani leo mi...
  13. consmary

    Naomba ushuhuda kwa watu waliokuza mitaji yao kupitia vikoba

    Raha ya kikoba(nazungumzia kikoba kilichokomaa sio kinachoanza) unaweza kukopa pesa kwa riba ndogo sana ukaongezea kwenye mtaji tofauti na vile ungekopa bank. Mfano kikoba nilichopo Mimi unaweza kukopa hata 5m.wanachama wako vizr kabisa kwenye kuhamasishana juu ya uchakarikaji na usimamizi wa...
  14. consmary

    Naomba ushuhuda kwa watu waliokuza mitaji yao kupitia vikoba

    Hicho bado hakijakomaa mkuu, kikoba nilichopo mimi ukitaka kujiunga utatoa 2,750,000. Faida Zake unaweza kukopa hela ndefu na nzuri kwa riba ndogo Sana.
  15. consmary

    TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

    Sawa lakini kumbuka kuna wanawake walioumizwa na wanaoendelea kuumizwa kikatili!
Back
Top Bottom