Uwiiiii. Pole sana, nikajua ni man...
Msichana ni rahis kuendana nae sawa. Unaijua dawa anayoitumia???
Ukishaijua dawa anayoitumia itakua nimwanzo wa kuingia na gia ya kumbadilishia dawa. Anza na kuipoda dawa alokua akiitumia kwamba nimekutana nawatu wanaiponda, mdanganye. Then mwambie...
Ushauri tu...
Ukiona umetingwa sana komaa hapo chuo ufanye acrobatic ya matokeo then omba open university. Ukifanikiwa kufanya haya basi utakua umejitengenezea safari ya kuendelea na chuo for the next academic year bila kurudia mwaka, itaonekana kama umehama chuo...
Kuhusu course, we pata chuo...
Em nielewesheni kodogo, kwahio kama queen Elizabeth (first born)angekua na mdogo wake wakiume ndo angeapishwa kua king badala ya Elizabeth soon after kifo cha baba yao??
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.