Kama ni msingi wa kozi sita utachukua tofali 860 -1,000. Pia ukubwa wa vyumba hapo nimepiga vyumba vyote Sawa yaani futi 10.5 ×10.5. Kwa portion zote 5 yaani jiko,sebule na vyumba 3.Mifuko 20 ya cement na roli moja la mchanga lenye ujazo wa m 4 Sawa na debe 200.Hapo bila mkanda.
Kawaida mtu akifika miaka 50 ana afya.Huo wana shoo ndefu.Tofauti na vijana wa 20's. Anapiga Round 3 ndani ya dk 30. Na ukizoea kudate na watu wa umri huo kuanzia 40's unakuwa addicted nao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.