Haya mambo anayosema Tito lemmo ni mambo gani jameni kwenye nchi yetu ????
RESILIENT KATO
RESILIENT KATO
Mchezo unachezwa deep kwenye maji=" Taarifa zunatoka juu kurudi chini-desert mission" by Tumia akili= "vurugu za uchaguzi za oct 29 zilianzia nje ya nchi" Thabit kombo waziri!!
Maana yake nini:-
Desert mission yaani mission nchi kavu inaendelea baada ya kuhalalishwa na damu kumwagika oct 29!Damu ilikua mtego ambao sasa umehalalisho mhawanyiko mkuu kupitia Tanzania football federation TFF!
Hiyo TFF imekuja baaada ya mauaji ya 29 Oct 29!
Tff ni intimidator Kwa wakubwa ili wawe na option mbili;-
1.kukimbia nchi Ili deep water wafanye wanachokitaka
Au
2.Wasubiri RIP wakiwa kwenye viti vyao!!
Hatari no kwamba:-
Recruits wa uvccm ndani ya tiss hawana uwezo wa ku sense hatari zaidi ya kuhangaika na script waliochorewa na poor thinking ya kufunga wapinzani na kuwaua wasio na hatia!
Mapishi yapo majuu huko deep walipo mossad, CIA na M16 and co!!
Signature Yao ndio hatari "Right there where you are" the state hao!!
Chukua na hii niliwahi soma sehem:-
St. Peters church hapo posta = Eti ni st.petersburg ya Russia
The state= no United States of america!
Hizo no taasisi mbili tofauti kiutendaji
Je inamaana kimedani nchi yetu imegawanywa pande mbili zinazo pambana !!?
Angalia Tumia akili anavyoandika"Pale st.peters kuna wale wenye kuwalinda wakubwa na maslahi binafsi,wapo wanaoshughulikiwa na baada ya muda hawatokuwepo!!
"Wao the state wametoa muda mpaka mwakani (2022) mchakato wa kitabu uanze,nasikitika kusema kuwa mtajwa (madam p) asipofanya mapema itakua too late kwake" kwenye Uzi wa Operation imesitishwa the state wamesema apewe muda!
Anaongeza" st.peters na the state ni taasisi mbili tofauti"
Je st. Peters ni taasisi ya kijani!!?
The state ni taasisi ya Taifa pekee!!?
Specualtive najaribu!