Nikilala nikiamka katika 9 games to go kuna wapumbavu Chelsea and Tottenham hawa watu wa London ,they will not want Arsenal awe bingwa wa EPL watakaza fuvu kweli kweli
Mna football [emoji460]️ [emoji119] mbovu mbovu shenzi type kuangalia Manchester United kama big team ni nonsense [emoji58] katika football [emoji460]️
Kuna watu akili ni ziro kabisa wastaafu ni watu ambao hawapo tena katika UTUMISHI WA UMMA hajamaanisha Wastaafu viongozi kwa akili hizi that's why tupo nyuma kila siku
Saint Anne kutwa kuja kuja kwenye Jukwaa la Arsenal while unanyanyaswa na litimu libovu kama Manchester United kwa dalili hizi hata kwenye EPL hutapata point pale OT
This is what we want to see leo Arsenal ipo quarter finals [emoji122] [emoji119] champions league team kubwa inatakiwa ionyeshe vitendo sio maneno BIG UP tutapewa mkubwa mwenzetu tutafight nae kuona nani ni nani
@hamis77 natumai umeona mziki wa Champions league nilikukatalia ile siku wakati fixtures zinapangwa kuwa team Porto ni team ndogo ona sasa tunabana kende tu muda huu anything can happen Arteta still bado Uefa competition zinamsumbua (katika last 5 fixtures za home katika Uefa zote tumetolewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.