Recent content by comp

  1. comp

    Tarehe ya written Interview ya Adult Education

    thanx kwa taaarifa mkuu..admission officer
  2. comp

    Tarehe ya written Interview ya Adult Education

    Samahani wadau, nilikuwa naomba nikumbushwe tarehe na muda wa written Interview ya Institute of adult education. Nilitumiwa message lakin bahati mbaya sim yangu imepotea jana na interview yenyewe ni wiki hii..Thanx in advance
  3. comp

    Sambwee Shitambara aachwa solemba na wananchi

    that`s what`s up
  4. comp

    Redio Uhuru Ifungiwe Haraka kwa usalama wa Taifa!

    We ndo yule Zubeda wa Prof Jay nini? We kule kwenye forum ya Mahusiano Mapenzi na Urafiki kunakufaa sana. ideas zako kwa ile forum zitakuwa hot kinyama. achana na hawa huku dada, kule ndo mpango mzima, au kama vip unazama jf live chat, au facebook I'm sure kwa siku utakuwa unapata watu kibao wa...
  5. comp

    Maandamano: Maswa hapatoshi umati mkubwa sana

    thanx mkuu!! bonge la message!!!
  6. comp

    JK apaa kwenda Paris leo...

    mkuu nimehangaika hapa kumtoa mdudu kwenye PC yangu kama 30 seconds hivi ndo nikagundua...... mwacheni mkuu akabadilishe damu, tatizo waTZ siku hizi mnachonga sana, oh "kaenda kubembea", "kaendea kushikana mkono na hasheem". makelele mengiii!!! sa hiv ni mwendo wa kimya kimya tu.. mtakuja...
  7. comp

    GE2010 Matokeo ya awali toka Mkoa wa Mwanza

    hapo kwenye red ninasmell kitu flan hiv, hilo gap under normal circumstance ni impossible. labda vijijini inaweza kutokea lakin siyo mjin.
  8. comp

    GE2010 Matokeo ya Uchaguzi Mkoa wa Dar-es-Salaam

    tatu bila, dk ni ya 25, mwenyeji amebanwa kila angle
  9. comp

    GE2010 Wameanza kuchakachua hapa

    hata mimi mkuu, nilikuwa namjua dr an mpendazoe tu. huyo diwan niliangalia tu kwenye vidole viwili nikajua hapa ndo nyumbani nikaweka vema
  10. comp

    GE2010 Kutoka kampeni za mwisho za CCM Jangwani

    Kwa wale mnaoangalia tujuzeni jamani bado tu hajaanguka?
  11. comp

    GE2010 Kutoka kampeni za mwisho za CCM Jangwani

    Mwalimu:Na tukirud huku kusini...... Mwanafunzi:Mwaliimu Mwalimu: Ehe, uliza swali lako Mwanafunzi:Sasa kama ndo hivyo kwa nini sisi bado maskini? Mwalimu:?\;'|;,`~***
  12. comp

    GE2010 Mama Salma aingia Arusha kwa mbwembwe

    muda wa kurudi xul kula vumbi la chalk umefika sasa. madesk yamemmiss huyu mama.
  13. comp

    sijasikia

    jana alikuwa mtwara.
  14. comp

    GE2010 Sabodo aichangia CHADEMA Milioni 100 (tena)

    Kibunango;1169508]Sabodo ndie yule gabachori? ndio huyo huyo, within no time ataambiwa ni mfilipino aombe uraia upya
  15. comp

    GE2010 Ratiba ya kampeni ya Dr. Slaa

    ratiba ipo kwenye web ya chadema,. waliiweka hata kabla ya campaign kuanza. tuwe tunatembelea na kule na kuwapa suggestion zetu.
Back
Top Bottom