Chadema oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wana JF nimepata taarifa kutoka source za kuaminika huko Shinyanga kuna maeneo ya Majengo ya zamani kuwa wanaume wa maeneo hayo leo waliwawekea ngumu wake zao kwenda kupiga kura kwani kutokana na uzoefu wao wanawake wengi huwa wanaipigia CCM sasa leo wamepigwa stop hakuna kutoka, ni wanaume tu ndo wengi sana wao walikuwa kwenye mistari katika kuleta mabadiliko. Hali hii ilimfanya mwenyekiti wa mtaa ambaye ni mwanamke akisema wazi kuwa mwaka huu kwa Shinyanga mjini kazi ni ngumu. Tusubiri matokeo