Elections 2010 Matokeo ya awali toka Mkoa wa Mwanza

Chadema oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Wana JF nimepata taarifa kutoka source za kuaminika huko Shinyanga kuna maeneo ya Majengo ya zamani kuwa wanaume wa maeneo hayo leo waliwawekea ngumu wake zao kwenda kupiga kura kwani kutokana na uzoefu wao wanawake wengi huwa wanaipigia CCM sasa leo wamepigwa stop hakuna kutoka, ni wanaume tu ndo wengi sana wao walikuwa kwenye mistari katika kuleta mabadiliko. Hali hii ilimfanya mwenyekiti wa mtaa ambaye ni mwanamke akisema wazi kuwa mwaka huu kwa Shinyanga mjini kazi ni ngumu. Tusubiri matokeo
 
Kwa hali ninayoiona hapa kwenye jimbo la Zamani la Waziri wa magereza (mbunge mstaafu Masha-lah), naona hata yeye mwenyewe keshakata tamaa.
Ktk jimbo hili la Mnyama wa Ghana Mash-lah hana chake. lakini watu wanadai kwa kuwa sisiemu ni mabingwa wa kuchakachua lolote laweza kutokea.
wana JF mnasemaje??
Unaleta yale yaliyomo kichwani mwako.Kama huna data kamili huna haki ya kupost yale yanayotoka kichwani bali tafuta halafu post yaliyokuwa na facts,siyo ushabiki wako.
 
Heko wana jamiii mimi na wenzangu tulio nje ya Bongo mnatupa raha sana kwa kila mnachoandika na sasa mambo ya uchaguzi basi ah saafi. Kila la kheri nategemea mtafanya maamuzi bora.
 
Jamani, it is still too close to call...................I am a bit disappointed because Mwanza was supposed to be a Chadema citadel............But at least no theft, so far.........................

Hata mimi kwa kweli, ukiangalia sehemu kama nyamagana sikudhani kama CCm wangejamba kiasi hicho, labda igogo
 
Heko wana jamiii mimi na wenzangu tulio nje ya Bongo mnatupa raha sana kwa kila mnachoandika na sasa mambo ya uchaguzi basi ah saafi. Kila la kheri nategemea mtafanya maamuzi bora.

maamuzi bora yapi tena wakati tulishafanya
 
kwa hali ninayoiona hapa kwenye jimbo la zamani la waziri wa magereza (mbunge mstaafu masha-lah), naona hata yeye mwenyewe keshakata tamaa.
ktk jimbo hili la mnyama wa ghana mash-lah hana chake. Lakini watu wanadai kwa kuwa sisiemu ni mabingwa wa kuchakachua lolote laweza kutokea.
wana jf mnasemaje??

loooo! Munaanza kutayarisha mazingira ya kukataa kura!!!!
ngoja mulete fujo halafu mkongoto ufuatie!!!!
 
Jamani pressure inapanda na kushuka, kila mtu akichangia tunaangalia kwa kudhani kuwa ni matokeo. Sasa cha kushangaza majibizano yanazidi kuliko kuleta matokeo. Tuachane na watu wa CCM kwa sasa,Focus yetu iwe kwemye matokeo zaidi kwani wanatapatapa hawakutegemea kama hali itakuwa hivi ilivyo. Walidhani watu waliokuja kwenye mikutano hawapigi kura.
 
Counting result for president CCM Matokeo ya Rais

Sumve Sekondari A1:

CCM - 16
CHADEMA - 15
CUF - 1

Sumve Sekondari A2:

CCM - 16
CHADEMA - 19
CUF - 0

Sumve Hospital:

CCM - 42
CHADEMA - 49
CUF - 6
APPT - 1

Ukerewe Halmashauri

CCM - 74
CHADEMA - 97
CUF - 2
APPT - 2
TLP - 1
NCCR - 1
UPDP - 0

NYAMAGANA (Muhandu):

CCM - 72
CHADEMA - 66
CUF - 2
Kawe oysterbay
RAIS
CCM 67
CUF 6
CHADEMA 6

IIMBO-KAWE,KATA-MAKONGO.
URAIS,
TOTAL 198,
ZIMEHARIBIKA 7,KURA HALALI 191,CCM-47,CHADEMA 142,CUF 2.
hapo kwenye red ninasmell kitu flan hiv, hilo gap under normal circumstance ni impossible. labda vijijini inaweza kutokea lakin siyo mjin.
 
Itafutwe namna nzuri zaidi ya ku-post haya matokeo. Namna nyingine itakuwa mafuriko ya mabandiko na mvurugano.
Mkuu umesema kweli, matokeo yakitumwa yawe na mpangilio wa Jimbo-Kata, kura za udiwani, ubunge na urais. Invisible unaweza kuanzisha thread maalum ya kutuma matokeo hayo huku ukinukuu source ya hapa JF.
 
Back
Top Bottom