Ukivuta jiko huko inakuwa umejichimbia grave.
Unasubiriwa ujipange kimaisha wakuondoe au unyang'anywe kila kitu utoke na nguo zako tu tena bila hata begi yaani nguo kwenye shangazi au mjomba kaja!
Ni kwasababu ya Mabio wanayo kimbia mkuu.
Ili ufanye Mazoezi ya kukimbia ni lazima upime afya kwanza na Upate ushauri wa daktari.
.Ukikimbia kama wafanyavyo wengi bila elimu Unatanua moyo na kusababisha uzee wa ghafla Mwili kuchoka na mifupa kuharibika
Kama Pressure cooker ni ya umeme ni Multcooker kwasababu hupika aina nyingi za vyakula kwa mfano hupika huchemsha huoka hukaanga.
Ila iliwa ni Pressure cooker ya kawaida isiyo ya umeme huchemsha zaidi .
Pia kuna Rice cooker hizi ni special kwa ubwabwa tyuuuu
Kwenye matumizi ya Umeme Mult...
Sio kweli chakula kukosa ladha ni ubovu wa mpshi na sababu sio multi cooker. Nina tumia multicooker na electric cooker za kawaida . MAPISHI NI SANAA KAMA SANAA NYINGINE MKUU
Please mkuu Britanicca sitamani Watz kulala juu ya miti kama ndege.
Kama unajua kuwa kutakuwa na mahangaiko zaidi ya tuyaonayo Nchi za wenzetu ni bora unyamaze tuu.AMANI YETU KIPAUMBELE KWETU
Teknolojia imewafanyab wadad wapoteze ustaarabu wa kujisafi sasa badala yakuwa na scent nzuri baadhi wana nuka balaaaa.
Wakiingia msalan iwe ndogo au kubwa hawataki kushika maji wanatumia karatasi lain au Toilet water pressure tubes
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.