Recent content by comety

  1. C

    Huyu hapa mtoto wa Mshana jr

    mimi co mkuu plz..am prety.....co kujilinda ki uchawi na mihirizi kibao..mbingu huwez iona kwa namna hyo
  2. C

    Huyu hapa mtoto wa Mshana jr

    hizo sio mila ni uchawi..hata kipofu anaona
  3. C

    Huyu hapa mtoto wa Mshana jr

    hiv anayefanya hiv anaamin kweli km kuna mungu
  4. C

    Wadada mnisamehe kidogo!

    nimeupokea ujumbe kwa mikono miwili....hadi usingiz umekata ghafla
  5. C

    Mpenzi wangu anapenda kuomba pesa nimemwambia ukweli kanuna

    usipompa atapata wa kukusaidia hilo jukumu..kwa hyo na yy itabid atoa msaada huko alipotatuliwa tatizo lake..watch out mkuu
  6. C

    Habari za kushinda wana jf,

    mmemlipa mlinzi leo lile deni la miaka yote ndo maana leo ulinzi umeimarika ama inakuaje?
  7. C

    Nimemwona Wema Sepetu, nimeshangaa kwanini tuna mu-Over rate sana

    mbona wema mzuri sana ....we ulimwangalia kwa waswas
  8. C

    Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

    makofi kwako tafadhali....acha povu liwatoke tutalowekea nguo kesho
  9. C

    Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

    yaani huu uzi nimeupenda xana...nakereka kuona uchafu huo machoni mwangu....watu tu hawaelimiki had sasa
  10. C

    Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

    ushaambiwa uvae boxer za cotton kubanwa huko vip tena naomba tabia hii ya libukta lako uiache utawapata watt wa uswazi wa mjini utawackia kwenye bomba.
  11. C

    Dar: Upepo mkubwa na mvua usiku - Machi 03, 2018

    poleni..zenji joto bado linatutesa though ilinyesha asbh kidogo
  12. C

    Wadada: Huu ni bonge la ushamba

    aibu hyo vip? kwan wakiwa huko chumbani wataoneana aibu km co ushamba unaomsumbua limbukeni huyu...mi nkiitwa jmn nakula kwanza nishibe then mchezo niumudu vzr
Back
Top Bottom