Nasubiri foleni ya kufa mtu baada ya ujenzi wa fly-over ya TAZARA junction, inakuwa wataalamu wetu wanafanya study yenye mapungufu hivi?unaboresha sehemu moja tu ya junction magari yaweze kupita bila kusubiriana lakini huko yalikotoka na yanakokwenda hali ni ile ile!! Nilitegemea kuona upanuzi...
Taarifa nilizonazo ni kwamba Tanzania na Zambia zinadaiwa deni la ujenzi wa Tazara kwa miaka 90, sasa ninaposikia sehemu ya mali za Tazara zinauzwa kabla deni halijaisha napata kigugumizi kuliongelea.
Jana nimemtolea uvivu askari mmoja wa barabarani,amenikamata kwa kosa la kudharau amri ya mwenzie ya kusimama.
Kaanza kunipotezea muda nikamwambia aniandikie faster kama kuna faini na sio nimlambe miguu,ningetamani JPM apate hiyo hela mapema afanyie mambo ya maana.
Nikaondoka nikamuacha na...
Sio kweli,mm nauza hiki kituo muda mrefu.
Kama unahitaji wewe ni pm tu acha longo longo na mizuka isiyo na tija.
Hicho kituo kina uwezo wa pump 8, pembeni kuna garage na super market. Eneo zima ni ukubwa wa hekari 2 hivi.
Kutokana na shida zangu binafsi nimeamua kuuza kituo cha mafuta maeneo ya Mlandizi,eneo lina hati kabisa.
Mijengo iliyopo ni ya kumalizia na pampu za mafuta ziko stoo ukizihitaji tutaongea.
Mwenye nia ni pm!
Naomba nifunguke,nina wasiwasi na mafuta ya transit ambayo hayajalipiwa kodi badala ya kuvushwa mpakani yanapelekwa katika hivi vituo utitiri na kuuzwa kwa bei nafuu.
Mh. Dr. JPM njoo na huku utumbue majipu serikali inaibiwa kodi.
Nimejaribu kufuatilia nikagundua aliniuzia power bank hiyo kwa sh. 40 elfu na kumbe kuna mchina fulani anaziuza kwa kati ya sh. 5 na 10 elfu tu,nimeamua kununua nyingine kwa sh.30 elfu.
Alikuja ofisini kwangu akanitangazia biashara yake ya vitu mbalimbali ikiwemo ya power bank. Kwa kweli nilikuwa na mpango huo ndipo nilipomuagiza aniletee power bank yenye uwezo mkubwa kwa ajili ya tablet yangu.
Nilipomkunbushia aniletee aliomba nimfuate alipo ndipo aliponikabidhi hiyo power...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.