Vigogo wagawana TAZARA

Vigogo wagawana TAZARA

Taarifa nilizonazo ni kwamba Tanzania na Zambia zinadaiwa deni la ujenzi wa Tazara kwa miaka 90, sasa ninaposikia sehemu ya mali za Tazara zinauzwa kabla deni halijaisha napata kigugumizi kuliongelea.
 
Ndio maana Tazara imekuwa ikidorora miaka yote, kama watumishi mwenyewe ndio hawa,

Mambo kama haya ndio hunifanya nisione sababu ya kuwaheshimu most of wazee waliokuwepo serikalini ambao wengi walisomeshwa free na serikali ya tz and this is their fuc..ckn turnover to their Nation. Hawa wazee ndio wametufikisha huku.

Yaani kuna kitu nlikuwa najiuliza sana aisee,
Kwenye hii Tazara .
Cargo zipo,
Locomotives Zipo, Wasafiri Wapo, Reli IPO, ila shirika haliendelei,
And this was the reason, hivi vizee vimeturudisha nyuma sana kwa sababu ya Tamaa zao..
Na wamefika mbali zaidi na kuamua kuliuza kwa mchina shirika zimazima..
Please Magufuli tupo vijana wenye nguvu na ari ya kupiga kazi, tunatiana aibu aisee, tupeni vijana hilo shirika mtupe target muone..
I hate elders wa Tazara na wengine walioturudisha nyuma.
Ni bora hii nchi tuishike vijana maana hivi vizee vinaturostisha.
 
Ilianza kama utani.. ukuta mdogo ukaongezwa kuja bara barani, mbele ya mwingine. Mara Fence kubwa , mara jengo la TAZARA ndani. Leo hii ni story zimebaki...
Tayari eneo linatumika kama ICD, magri na makontena yamo ndani.
 
Mhe JPM inabidi atumbue haya ni matambazi kabisa maana mtu anajimilikisha nyumba 16,18
 
Ilianza kama utani.. ukuta mdogo ukaongezwa kuja bara barani, mbele ya mwingine. Mara Fence kubwa , mara jengo la TAZARA ndani. Leo hii ni story zimebaki...

We, wanaweza kuwa na ubavu wa kuuza eneo la Karakana ya Tazara Pugu Rd? Kwani Serikali hipo likizo au?

Hiki ni kitu hatari sana, mbona Regional Manager anaonekana ana Uzalendo sana, je, ana taarifa za kuuzwa jengo la karakarana lenye injector pump na nozzles calibration machine ya gharama kubwa sana - wahuni walio nunua sehemu hiyo shida yao kubwa ni kutaka kupora mashine na jengo - hiyo ni mashine yenye umuhimu wa pekee kwa engines zinazo tumia diesel fuel.

Wahusika wote wanapashwa kuwekwa mbaroni na kufungwa - Tazara imehujumiwa sana na wafanyakazi wenye mmamlaka wasio na uzalendo wakishirikiana na wafanya biashara, Tanzania na Zambia hazijawahi kurudisha deni la Wachina hata senti tano - leo hii upande wa Tanzania wamekazania kuuza mali za Tazara ikiwemo Tazara Hostel ya kinondoni, Karasini Material Depot na aridhi, Sehemu ya karakana wanapolima mchicha nk Wazambia nao wanausika katika hujuma za kuuza mali za Tazara upande wa Tanzani lakini linapokuja suala la mali za Tazara upande wa Zambia hawajauza hata kitu kimoja mali yote ya Tazara upande wa Zambia hipo intact, wamekazania kuuza mali za Tazara upande wa Tanzania tu.
 
Acha nao wafaidi "matunda ya uhuru" mbona zile nyingine watu waliuziana kwa staili hiyohiyo.
 
Tayari eneo linatumika kama ICD, magri na makontena yamo ndani.

Serikali ivunje ukuta, itaifishe mali yote ya mvamizi afunguliwe yeye pamoja na washiriki wake ndani ya management ya Tazara wafunguliwe mashtaka na kufungwa.
 
Na hivi wameshajua mchina anakuja kuendesha shirika! Wataiba hadi vijiko!
 
Duh! Hii ni jinai iliyowazi kabisa lakini imelindwa na mfumo.
 
Haaa haaaa haaaa Dr Magufuli anatumbua majipu lakini utashangaa majipu mengine yanazidi kuongezeka nadhani sasa kachoka pengine atatulia Ikulu ya magogoni huku akitafakari kazi yote anayoifanya ni bure bila kuandaa mfumo utakao himili kishindo cha ufisadi atatumbua majipu hadi karne ya 22 bila mafanikio.
 
Prezidaaa umesikia hili? Shughulika nao kabla wananchi hawajaamua vinginevyo! Hii dhuluma kha ndio maana Tazara ilifisika kumbe! Anyways wenyewe wamerudi rudisheni nyumba zao! Hahahhhh hii sarakasi kiboko. Mwakyembe upo!
 
Sasa mambo haya yanafanyika mamlaka ziko wapi??Inamaana jambo hilo limefanyika kwenye utawala huu huu wa Dr Magu?Sitaki kuamini kuna watu wananguvu kuliko serikali,tena hii ya Magu?Kuna watu naona hawaogopi kutumbuliwa.
 
Back
Top Bottom