Recent content by Cognitivist

  1. Cognitivist

    JamiiForums Usiku wa manane

    0434
  2. Cognitivist

    Kinana kupitia Wanasheria amuandikia Msigwa kumtaka amuombe radhi

    Napenda kutumia nafasi hii kumuomba radhi ndg yangu Kinana kwa maneno ya kizandiki yasiyo na ukweli wowote. Niliowaamini wameniangusha kwa kunipa taarifa zisizo sahihi
  3. Cognitivist

    Serikali yatangaza bei ya kikomo ya Sukari; ipo kati ya Tsh. 2,600 na Tsh. 3,200 kwa kilo kutegemea na Mkoa

    Hii ndiyo serikali ya wanyonge, inayowajali wanyonge na kufanya kazi kwa ajili ya wanyonge kama wewe sio mnyonge kamwe huwezi kuelewa namna gani serikali yetu sikivu inavyotujali wanyonge.
  4. Cognitivist

    The Economist: President Magufuli is fostering a climate of fear in Tanzania

    Kwa nini unafikiri mwandishi anapaswa kushughulikiwa
  5. Cognitivist

    Mdude CHADEMA kapotelea wapi?

    "Kuna wakati kumfananisha Magufuli na mgonjwa aliyepata gono kwa kuendekeza uasherati" Natafakari!
  6. Cognitivist

    NDANI YA BOKSI: Kifo cha Nyerere, kimeondoka na wasanii kibao

    Umejitahidi mzee baba kwa shauri zuri ila hapo kwa kuwakaanga mademu wetu wa mikoani aaaaah! Hao ndio wanafanya maisha yaende kutokea pande hizi
  7. Cognitivist

    huyu Ngosha anakwama wapi aseee!!!

    Hiyo kitu ikiingia kwa haki ka.nandy lazima kaimbe bugana...
  8. Cognitivist

    Kipilimba, Umekubali kuvuliwa nguo?

    Asante sana "my son drink water" uliliona hili wakati MATAGA and the like wakiwa bado wanaota ndoto za kitanda
  9. Cognitivist

    Magufuli kaamua kumpandisha Kikwete Ndege?

    Kikwete ni mzee wa anga ana kilometers za kutosha angani, so, title yako ingetakiwa isomeke "Kikwete kaamua kumpandisha Magufuli ndege" hii inge.make sense 🤣🤣
  10. Cognitivist

    Rais Magufuli kufanya ziara nchini Ujerumani

    Kuna demu wangu yuko huko Germany ngoja niandike barua anisaidie kumpelekea
  11. Cognitivist

    Huu Ndio Msimamo wa CHADEMA, uchaguzi wa Ubunge "Jimbo la Nassari"

    Sasa ni wakati muafaka kwa Nassari kutangaza waziwazi kuunga mkono juhudi ili apewe jimbo
  12. Cognitivist

    Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

    Tatizo linaanzia pale unapoalika division zero kutokomeza division zero
  13. Cognitivist

    Hizi ‘Dressing Code’ za Rais Magufuli nimezielewa

    Hii raba mheshimiwa atakuwa aliingia nayo magogoni moja kwa moja kutoka chato tena atakuwa aliifungasha kwenye Rambo nyeusi
  14. Cognitivist

    Nimempa mimba mama Mjamzito

    Hii hali ni ya kawaida kabisa kitaalam tunaiita "double impact". The condition is very common among petty partners
Back
Top Bottom