Habari wakuu,
Naomba muongozo kwa wenye uzoefu,
Je,inaruhusiwa kusafirisha vijiti vya mihogo kiasi,
Kutoka Tanzania kupeleka Zambia ,kama mbegu
Asanteni.
Yani ni kero,yangu inaenda kumaliza miezi miwili sasa,mpaka unavunja ratiba zako muhimu,sijui tunashida gani hii nchi😏
Ni kero,yangu inaenda kumaliza miezi miwili sasa 😏
Wapendwa naomba mnisaidie mawazo ya Nini nifanye ili niweze kupewa passport yangu,inazaidi ya mwezi sasa yangu niombe,na uhamiaji wanataka nipeleke barua kutoka kazini kwangu,Jambo ambalo ni gumu maana I'm jobless at the moment,na Nina ihitaji before 25 this month.
Habari,unaweza kunisaidia ni Nini nifanye ili passport yangu iweze kuruhusiwa kutoka,maana nimeambiwa nipeleke barua kutoka kituo changu Cha kazi,lakini nashindwa maana kwasasa sina kazi, please nitashukru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.