Recent content by Cofok

  1. C

    Natafuta dada wa kuuza Liquor Store – Kinondoni Shamba

    Naomba hii nafasi,Nina uzoefu wa kutosha na exposure nzuri Sana,mcheshi na smart
  2. C

    Kusafirisha vijiti vya mihogo

    Habari wakuu, Naomba muongozo kwa wenye uzoefu, Je,inaruhusiwa kusafirisha vijiti vya mihogo kiasi, Kutoka Tanzania kupeleka Zambia ,kama mbegu Asanteni.
  3. C

    Namna ya kupata ajira nchi za nje

    Naomba na Mimi unisaidie connection, language nipo vizuri na Nina exposure kidogo
  4. C

    Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

    😀😀😀😀😀😀😀
  5. C

    Serikali ya CCM na Uhamiaji miaka 60 ya Uhuru wanashindwa kutengeneza passport , bila shaka hatuwezi kupata maendeleo CCM ikiendelea kuwa madarakani

    Yani ni kero,yangu inaenda kumaliza miezi miwili sasa,mpaka unavunja ratiba zako muhimu,sijui tunashida gani hii nchi😏 Ni kero,yangu inaenda kumaliza miezi miwili sasa 😏
  6. C

    God's will be done

  7. C

    Msaada wa kupata passport

    Wapendwa naomba mnisaidie mawazo ya Nini nifanye ili niweze kupewa passport yangu,inazaidi ya mwezi sasa yangu niombe,na uhamiaji wanataka nipeleke barua kutoka kazini kwangu,Jambo ambalo ni gumu maana I'm jobless at the moment,na Nina ihitaji before 25 this month.
  8. C

    Napataje barua ya uthibitisho wa safari? Ili kupata passport?

    Hello,unaweza kunisaidia mawasiliano yake ,kama yupo Dar, passport yangu imezuiliwa,sina barua kutoka kazini,I'm jobless kwa sasa!!?.
  9. C

    Nafanyaje kupata Hati ya Kusafiria (Passport) kwa haraka?

    Habari,unaweza kunisaidia ni Nini nifanye ili passport yangu iweze kuruhusiwa kutoka,maana nimeambiwa nipeleke barua kutoka kituo changu Cha kazi,lakini nashindwa maana kwasasa sina kazi, please nitashukru.
Back
Top Bottom