Watanzania walikuwa wanataka tu viongozi bora

Watanzania walikuwa wanataka tu viongozi bora

Traxtion

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2021
Posts
7,600
Reaction score
15,520
Maisha yanatufundisha sio kila kitu unachokitamani unaweza kukipata, kuna vingine vinabaki kuwa ndoto tu.

Watanzania walikuwa wanataka viongozi wenye akili, wazalendo, wanaotumikia wananchi, wanaosikiliza wananchi, wenye ukarimu, wenye upendo, wenye maono, wawajibikaji, wenye uwezo wa kuwatatulia matatizo yao, viongozi watakaowajali, watakaothamini wananchi, wenye uchu wa maendeleo.

Watanzania walikuwa wanataka viongozi bora tu, walikuwa na matumaini kuwa upo uwezekano wa kupata viongozi bora, ila look at what they've got.

Poleni sana Watanzania
 
Maisha yanatufundisha sio kila kitu unachokitamani unaweza kukipata, kuna vingine vinabaki kuwa ndoto tu.

Watanzania walikuwa wanataka viongozi wenye akili, wazalendo, wanaotumikia wananchi, wanaosikiliza wananchi, wenye ukarimu, wenye upendo, wenye maono, wawajibikaji, wenye uwezo wa kuwatatulia matatizo yao, viongozi watakaowajali, watakaothamini wananchi, wenye uchu wa maendeleo.

Watanzania walikuwa wanataka viongozi bora tu, ila look at what they've got.

Poleni sana Watanzania
Sad 😱
 
Kuishangaa hiyo ripoti napo ni kujitoa ufahamu
 
Mwanzoni nilijua labda ripoti itakuwa mbaya, kumbe imekuwa ovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom