Hapana hilo si suluhisho, maintain siri zako halafu chunguza mawazo ya mtu unayetaka kuwa nae, jipe muda kujianika kwake, mtu hamjaoana ana hukua password yako ya bank si sahihi! Hii ni too much, umejiexpose sana, maintain siri zako.
Ni sababu moja wapo, pamoja na ile kuona una wategemezi wachache, kama hivyo wazazi wamefariki, unakuwa na extra money endapo unajishughulisha sasa na unaingiza kipato, pole sana vijana wa siku hizi sijui tumekuwaje wengi tunaangalia fursa katika mapenzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.