Nimpige chini?

Nimpige chini?

Vjana bwana

sasa we upokei unakua busy, lakini ye asipo pokea basi unahisi anatobw*

mwizi siku zote uhisi anaibiwa

pole tatzo ni umri wako mkuu nimesha guess na nimejua 27,28
ha ha h ah ha hapana mkuu mapenzi hayana umri,ndio maana mzee wa miaka 70 anakuwa mtoto kwa binti wa miaka 20 akinyonya maziwa.
 
Hahaha. .Daah! !!Kwahiyo kinacho kusumbua ni wivu?

Hebu nipe namba yake -ni jaribu kumpigia huwenda akapokea --kisha nimseme juu ya Tabia yake ya kuacha kupokea simu yako
ha ha ha ha nikikupatia namba hutoonekana jf utakuwa unakaba muda wote
 
Michepuko kuna kipindi inajichetua na kukengeuka mpaka unatamani umuombe wife ushauri.
Wa kwangu una wiki hupokei simu wakati mara ya mwisho umenipa mambo matamu, sarakasi kama zote, na nilitegemea kumuomba wife apande cheo.
ha ha ha ha ha
 
Nataka nimpige chini mchepuko,nampigia simu inaita haipokelewi na mawazo yanayoniijia kichwani kwa kutokupokea simu nahisi labda ni dharau au anapigwa mashine,mbaya zaidi anaujauzito wangu na kuna fedha aliomba kwangu ingawa nakuwa mgumu kuitekeleza yote;sasa nataka nitumie huu upenyo wa kutokupokea simu nimpige chini.Waungwana, mnasemaje kuhusu hilo?
Hauwezi kumuacha mkuu, cha msingi punguza wivu, umeoa wacha na yeye atafute wa kumuoa
 
Nataka nimpige chini mchepuko,nampigia simu inaita haipokelewi na mawazo yanayoniijia kichwani kwa kutokupokea simu nahisi labda ni dharau au anapigwa mashine,mbaya zaidi anaujauzito wangu na kuna fedha aliomba kwangu ingawa nakuwa mgumu kuitekeleza yote;sasa nataka nitumie huu upenyo wa kutokupokea simu nimpige chini.Waungwana, mnasemaje kuhusu hilo?
Usijisahau kuwa nawe ni mchepuko ivyo ngoma droo
 
Nataka nimpige chini mchepuko,nampigia simu inaita haipokelewi na mawazo yanayoniijia kichwani kwa kutokupokea simu nahisi labda ni dharau au anapigwa mashine,mbaya zaidi anaujauzito wangu na kuna fedha aliomba kwangu ingawa nakuwa mgumu kuitekeleza yote;sasa nataka nitumie huu upenyo wa kutokupokea simu nimpige chini.Waungwana, mnasemaje kuhusu hilo?
Kwani makubaliano yalikuwa?? Umemsaliti mkeo u? And ur complaining??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom