OhoooooooooCompany yako inadeal na nini?,husemi unaishia kututamanisha umeaanda salary ya mwaka. Tiririka maelezo yaliyoshibaa, je unaweza kunipa salary advance ya mwaka mzima?, usije kuitumia bure
Kweli mkuu ,amesema ameandaa salary ya mwaka mzima, better anipe yote , ibakie kupiga Kazi tuOhooooooooo
mzee cha kwanza wewe ndo haupo serious...yani mtu unaemtegemea akukuzie kampuni eti alipwe 200k??!! af et marketing officerNatafuta mtu confident, smart kichwani and good looking ambaye atasaidia kukuza kampuni yangu. (Ladies are more encouraged)
2018 nilifungua kampuni mpya ambapo nimepata contracts 2 mpaka sasa nimeona kuna room kubwa ya kukua. Nomba kupata marketing officer ambaye atakuza kampuni hii. Nitampa daily, weekly and monthly targets. N a KPIs zipo. mshahara utapanda haraka sana.
Nimetenga pesa ya kumlipa ya mwaka mzima so kuhusu mshahara hatakuwa na shida.
Najua kampuni itakua haraka maana this s not my first time nilittangaza hivi nikaanza na kijana namlipa laki na nusu but now analipwa laki tano. kazi yake ni kwenda kwenye cooperate offices na kutangaza kampuni.
nakaribisha mtu serious anitafute - 0766568609
Wewe ni wa kike?Daah mkuu nimemtafuta seriously niko mwanza ila sikufanikiwa maana jamaa sijui kama yupo serious ama anatania
@jokeri yupo humu analia njaa tuHuyo mtu smart anaanzaje kuwa smart kwa mshahara wa laki 2, Ukiwa serious utapata watu serious ukiwa joker utapata majokeri tu
Wabongo banah mtu yupo tayari kufanya kazi kwa wahindi mshahara hata laki na nusu
Haifiki hapa wanajishauaaaa wakati wanaishi kwa mashemeji nyooo
Hili tangazo limenichekesha kweli jinsi alivyolinadi kwa mbwembwe.
Eti anataka mtu confident na smart.
Mtu smart gani atakayekubali umlipe laki 2.
Mshahara wa laki 2 hata machinga hawezi kukubali.
Halaf Ni bora Hilo title la marketing officer ungebadilisha uandike marketing casual laborer.
Officer umlipe laki 2 kweli?
[/QUOTEOfficer unataka alipwe tshs ngapi?
Mm naona kasema uwezo wake
Duh ukifatilia comment za humu kuhusu hiyo Post, hakika ni shule kwa watafuta kazi na watoa kazi. Kuna mengi ya kuzingatia kipindi hiki ambacho uchumi ni mgumu unless....mtoa post budget yake haiendani na position na majukumu ya kazi husika, but pengine uchumi ndo huo umebana...maana yake mwajiliwa itabidi akue na kampuni...kitu ambacho watafuta ajira wengi hawataki na sio hulka ya wengi...wengi wanataka ajira zenye mshahara mkubwa au wastani ilihali mwajiri ni mchanga kiuchumi na kiutendaji...sasa afanyeje,?? there is a way to go....mwenye kampuni jitahidi kutafuta simple and effective means to locating different markets..otherwise kutangaza ajira humu unadhaniwa umejipanga kiuwekezaji!
Wewe haujawahi kuishi kwa mashemeji
Sijawahi!