Nikiona mtu yupo upande wa kuitetea serikali hii basi automatically ni chizi au hana akili kabisa na hawezi shauri kitu chochote cha maana kwenye jamii inayo mzunguka, hata familia yake inawakati mgumu sana wa kuwa na mzazi wa aina hii.
Ilitakiwa nipite kimya kwenye uzi huu ila nimeshindwa...
Mtoa mada umeeleweka vizur sana, msingi wa lugha ni kurahisisha mawasiliano, wengi wetu hatujui maneno ya kiswahili kwa ufasaha ingawa tumezaliwa na waswahili na kukulia kwenye jamii ya kiswahili.
Kuna baadhi ya maneno ya kiswahili ukiyasikia utashangaa hata kama hilo neno lipo na unaweza dhani...
Mkubwa kwenye mambo ya kukomboa Taifa hakuna kubembelezana,
Ukizingua unakula block haraf unapita hiv, unataka kunyenyekewa wew umekua nan.
Just behave.
What is yor excuse bro? Umefurah kwa kilichotokea kwa watanzania wenzako? Let alone waliokuwa barabaran, Je wale waliofatwa majumbani na kuuwawa kinyama? Are yu proud of that too?
Mkubwa! Chill then subir uone nin kita happen maana naona una hasira sana na GenZ, nafaham umefurah vijana wengi kuuawa.
Hakuna alie salama even yu so shut yor damn mouth.
Mkubwa! No Offense ila inaonekana wew ni masalia ya wale wazee wa zamani ambao nahisi pia ulishawai pigana vita ya maji maji.
This article mentions it all.
Kuna baadhi ya watu kama mtoa mada wanadhani amani ni kuruhusu mwananchi akubali kila aina ya dhihaka atakayofanyiwa na serikali, ikiwemo kunyanyaswa, kutekwa, kuuwawa pamoja na kunyimwa haki zake za msingi katika vyombo vya sheria.
Wanahisi kukubali uonevu huo ndio kuendelea ku keep amani...
Kwenye mambo kama haya inatakiwa vyombo vya ulinzi ndio vilinde waandamanaji pamaja na mali zao na kuhakikisha hakuna uvunjifu wa amani katika maandamano hayo, je kwenye maandamano hayo vyombo vya ulinzi vilifanya kazi yao?
Jibu ni hapana, sasa ni nani wa kulaumiwa katika situation kama ile?
Mtoa mada acha kutia wananchi hofu kias hicho, unachokesema hakiwezekani na hakiwezi kutokea.
Serikali imeshajifunza na inajua dhahiri kwamba haitaweza kudhuru raia tena siku ya maandamano na simply because dunia ishajua kilichotokea na watakuwa macho kuona nini kitatendeka tarehe hiyo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.