Recent content by Codehood

  1. Codehood

    Padre Kitima aitumia TEC vibaya

    Nikiona mtu yupo upande wa kuitetea serikali hii basi automatically ni chizi au hana akili kabisa na hawezi shauri kitu chochote cha maana kwenye jamii inayo mzunguka, hata familia yake inawakati mgumu sana wa kuwa na mzazi wa aina hii. Ilitakiwa nipite kimya kwenye uzi huu ila nimeshindwa...
  2. Codehood

    Kiswahili ni lugha yenye vikwazo sana

    Mtoa mada umeeleweka vizur sana, msingi wa lugha ni kurahisisha mawasiliano, wengi wetu hatujui maneno ya kiswahili kwa ufasaha ingawa tumezaliwa na waswahili na kukulia kwenye jamii ya kiswahili. Kuna baadhi ya maneno ya kiswahili ukiyasikia utashangaa hata kama hilo neno lipo na unaweza dhani...
  3. Codehood

    Tiktok bunge la wananchi Kuna jamaa anaitwa summer ni mjinga sana

    Mkubwa kwenye mambo ya kukomboa Taifa hakuna kubembelezana, Ukizingua unakula block haraf unapita hiv, unataka kunyenyekewa wew umekua nan. Just behave.
  4. Codehood

    PostGE2025 Watu wa nje hawawezi kutupenda kuliko tunavyojipenda sisi wenyewe. Au kama hatujaamua kupendana

    Robert siku hiz una wazimu we jamaa, sikupangii cha kuandika ila now days unaandika upupu.
  5. Codehood

    Serikali yoyote duniani iliyowekwa na wananchi huwa haitishiwi kwa matamko na maneno ya michambo mitandanoni

    😆😆 yor totally wrong! Guess what my brother, hata wewe hapo ulipo haupo salama.
  6. Codehood

    Serikali yoyote duniani iliyowekwa na wananchi huwa haitishiwi kwa matamko na maneno ya michambo mitandanoni

    What is yor excuse bro? Umefurah kwa kilichotokea kwa watanzania wenzako? Let alone waliokuwa barabaran, Je wale waliofatwa majumbani na kuuwawa kinyama? Are yu proud of that too?
  7. Codehood

    Serikali yoyote duniani iliyowekwa na wananchi huwa haitishiwi kwa matamko na maneno ya michambo mitandanoni

    Mkubwa! Chill then subir uone nin kita happen maana naona una hasira sana na GenZ, nafaham umefurah vijana wengi kuuawa. Hakuna alie salama even yu so shut yor damn mouth.
  8. Codehood

    Serikali kazia hapo hapo msiwape nafasi tena CHADEMA wasijifanye wao ni last born kususa susa - Nchi ilikuwepo bila CHADEMA na itaishi bila CHADEMA

    Mkubwa! No Offense ila inaonekana wew ni masalia ya wale wazee wa zamani ambao nahisi pia ulishawai pigana vita ya maji maji. This article mentions it all.
  9. Codehood

    PostGE2025 Watu wamejiandaa kuyaona machozi ya CCM

    Misingi ipi hiyo mkubwa? Naomba dadavua kidogo ili nikuelewe vizuri.
  10. Codehood

    PostGE2025 Umuhimu wa amani na mshikamano

    Kuna baadhi ya watu kama mtoa mada wanadhani amani ni kuruhusu mwananchi akubali kila aina ya dhihaka atakayofanyiwa na serikali, ikiwemo kunyanyaswa, kutekwa, kuuwawa pamoja na kunyimwa haki zake za msingi katika vyombo vya sheria. Wanahisi kukubali uonevu huo ndio kuendelea ku keep amani...
  11. Codehood

    PostGE2025 Wito: Rais Hutubia nchi Jioni ya Tarehe 8 Dec

    Kwenye mambo kama haya inatakiwa vyombo vya ulinzi ndio vilinde waandamanaji pamaja na mali zao na kuhakikisha hakuna uvunjifu wa amani katika maandamano hayo, je kwenye maandamano hayo vyombo vya ulinzi vilifanya kazi yao? Jibu ni hapana, sasa ni nani wa kulaumiwa katika situation kama ile?
  12. Codehood

    PostGE2025 Wito: Rais Hutubia nchi Jioni ya Tarehe 8 Dec

    Mkubwa! wewe ulitaka wananchi wafanyeje labda kama unazani tatizo pia lipo kwa wananchi?
  13. Codehood

    Tahadhari kwa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Taifa

    Mtoa mada acha kutia wananchi hofu kias hicho, unachokesema hakiwezekani na hakiwezi kutokea. Serikali imeshajifunza na inajua dhahiri kwamba haitaweza kudhuru raia tena siku ya maandamano na simply because dunia ishajua kilichotokea na watakuwa macho kuona nini kitatendeka tarehe hiyo ya...
  14. Codehood

    Kwa nini maandamano October 29 yalifeli?

    Robert! wee ni miyeyusho sana, em rudia utafiti wako tena.
Back
Top Bottom