Recent content by Codehood

  1. Codehood

    JamiiForums Tanzania Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

    Vyote viwili, Universe haitambui mtu mwema au mbaya, yenyewe ina respond kutokana na vibration unayo provide baada ya tukio kufanyiwa. Ukiwa mwema hata kidogo then ukawa disappointed na matokeo ya wema huo najua utalalamika sana, Hapa kuna mfanya na mfanyiwa, aliekufanyia ubaya universe...
  2. Codehood

    JamiiForums Tanzania Kuna wanaume nikiwaangalia kwa muonekano wao, najiuliza hivi huyu atapata mpenzi kweli?

    Kila shetani na mbuyu wake, Elewa hapo kwanza.
  3. Codehood

    JamiiForums Tanzania Samia: Vijana wanamezeshwa sumu kuchukia Serikali

    Hivi bado mnakaa kabisa na kusikiliza hotuba za viongozi mpaka leo, Me nikiona kiongozi yeyote anahutubia napita kimya kwa mustakabali mzima wa kulinda afya yangu ya akili.
  4. Codehood

    JamiiForums Tanzania Mary Claire: Sikumlazimisha anilipie ada na sikujua kuwa ameoa

    😆😆 dah nimecheka sana
  5. Codehood

    JamiiForums Tanzania Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

    kuwa mtu mwema hiyo ni weakness tayar na watu wata take advantage na mwisho hautafika mbali, Hakuna rewards ukiwa mtu mwema zaid ya disappointment. Cheers kwa wenye roho mbaya wote🍻
  6. Codehood

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyofilisika na kupoteza Tsh Milioni 25 kupitia kamari ya Aviator

    Kesho asubub utafungua account nyengine tu mkubwa😁
  7. Codehood

    JamiiForums Tanzania Mwanaume Unaendeshwaje na Hisia Kama Mtoto wa Kike?

    Kuna age ya kufanya haya unayoyasema, na kuna age lazima ukubali kushuka kama baba au mume. Sio una kaza tu mda wote😁
  8. Codehood

    JamiiForums Tanzania Hii chuki dhidi ya ‘Single Mothers’ Inaweza Kubadilisha Mfumo wa Mahusiano ya hawa Gen Z wakagoma kabisa kushika mimba mpaka ndoa

    Nazani tatizo ni la mwanamke mwenyewe, wanashindwa kuona nature halisi ya mwanaume alienae kwa wakati huo. Unaona kabisa jamaa hajali hata kwenye issue ndogo tu lakin bado unaamua kumzalia kabisa😁 dah. Nina wanangu ambao mim personal najua huyu jau na wana red flag kama zote lakin nao bado...
  9. Codehood

    JamiiForums Tanzania Padre Kitima aitumia TEC vibaya

    Nikiona mtu yupo upande wa kuitetea serikali hii basi automatically ni chizi au hana akili kabisa na hawezi shauri kitu chochote cha maana kwenye jamii inayo mzunguka, hata familia yake inawakati mgumu sana wa kuwa na mzazi wa aina hii. Ilitakiwa nipite kimya kwenye uzi huu ila nimeshindwa...
  10. Codehood

    JamiiForums Tanzania Kiswahili ni lugha yenye vikwazo sana

    Mtoa mada umeeleweka vizur sana, msingi wa lugha ni kurahisisha mawasiliano, wengi wetu hatujui maneno ya kiswahili kwa ufasaha ingawa tumezaliwa na waswahili na kukulia kwenye jamii ya kiswahili. Kuna baadhi ya maneno ya kiswahili ukiyasikia utashangaa hata kama hilo neno lipo na unaweza dhani...
  11. Codehood

    JamiiForums Tanzania Tiktok bunge la wananchi Kuna jamaa anaitwa summer ni mjinga sana

    Mkubwa kwenye mambo ya kukomboa Taifa hakuna kubembelezana, Ukizingua unakula block haraf unapita hiv, unataka kunyenyekewa wew umekua nan. Just behave.
  12. Codehood

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watu wa nje hawawezi kutupenda kuliko tunavyojipenda sisi wenyewe. Au kama hatujaamua kupendana

    Robert siku hiz una wazimu we jamaa, sikupangii cha kuandika ila now days unaandika upupu.
  13. Codehood

    JamiiForums Tanzania Serikali yoyote duniani iliyowekwa na wananchi huwa haitishiwi kwa matamko na maneno ya michambo mitandanoni

    😆😆 yor totally wrong! Guess what my brother, hata wewe hapo ulipo haupo salama.
  14. Codehood

    JamiiForums Tanzania Serikali yoyote duniani iliyowekwa na wananchi huwa haitishiwi kwa matamko na maneno ya michambo mitandanoni

    What is yor excuse bro? Umefurah kwa kilichotokea kwa watanzania wenzako? Let alone waliokuwa barabaran, Je wale waliofatwa majumbani na kuuwawa kinyama? Are yu proud of that too?
  15. Codehood

    JamiiForums Tanzania Serikali yoyote duniani iliyowekwa na wananchi huwa haitishiwi kwa matamko na maneno ya michambo mitandanoni

    Mkubwa! Chill then subir uone nin kita happen maana naona una hasira sana na GenZ, nafaham umefurah vijana wengi kuuawa. Hakuna alie salama even yu so shut yor damn mouth.
Back
Top Bottom