Kuna sababu moja kubwa sana najiuliza, nini chanzo cha Panya road?? Tusitatue tatizo kwa kuangalia tulipoangukia tu Bali kilichosababisha tukaanguka ni kipi?? Hii itasaidia kupunguza kama sio kumaliza kabisa tatizo hili lisijitokeze tena huko mbeleni!
#MaendeleoHayanaChama
Huna lolote,. Kama kakutuma ufanye investigation mwambie huku ninapoishi anachukiwa na ht mm nikipata upenyo wa kuingiza risasi kwake nammaliza mara moja for the sake of other Tanzanians!
😎😎
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.