Wadau nina kahela kidogo nataka nikazungushe kwenye m pesa labda nami nitainuka kiuchumi.kama una laini ya m pesa nami niwe wakala wa m pesa njoo kwa 0752640448.niko Arusha
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchochezi at work. Hivi huyo mzee kumpa kashfa zote wewe kijana wa Lu m mba huoni unatafuta laana?unalalamika nini wakati kawaambia kama mna ushahidi mpelekeni mahakamani. Mnaogopa nini kumpeleka ili tujue ukweli. Yaani hapa naona thread hii imejaa utumbo mpana ifutwe tu
Sent using Jamii Forums...
Aise pole. Hiyo ni mojawapo ya machungu ya dunia hii. Bado una nafasi ya kuishi na kufanikiwa katika ndoto za maisha. Nenda kapime, pia kubali matokeo utakayo ambiwa. Sasa usisahau kutumia condom unapokutana na mkeo au mwanamke mwingine.kwa Ushauri zaid nitafute kwa 0752640448
Sent using Jamii...
Lowasa ndio president wetu wa mioyo. Anajua kutufariji kiakili na kimwili. Hakika sasa anaishi kwa amani. Mungu aendelee kumbariki kiongozi na baba yetu.
Tena linea nigra ni huo mstari chini ya kitovu kwa mwanamke ambaye si mjamzito.Ila akibeba mimba huo mstari unaonekana vizuri na unaitwa linea gravidarum
Huo mstari unaitwa linea nigra.mstari huu ndio mama akifisha wiki 12 za ujauzito ndo akija clinic anapimwa urefu wa huo mstari kwa kutumia tape measure. Mfano, kama baada ya kupima huo mstari ukawa na urefu wa 20cm,maana yake ni kwamba mimba ina wiki 20 au pungufu kidogo au zaidi kidogo. Yaani...
Jaman mimi ni mwanaume .naombeni msaada wa dawa nzuri ya kuzuia ndevu kuota. Utakuta kwa wiki nanyoa ndevu mara nne. Hivyo naona kama zinaota haraka sana. Na pia kama unaijua hyo dawa naomba Na bei yake pia na maelezo ya kutosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.