Recent content by COCKINGTON

  1. C

    Huyu mtoto anaiga kutoka wapi?

    May be kaona mum anazingua na ishu ya potty training na yeye kaamua kuchukua break fupi
  2. C

    World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

    White Pele nini tena??????
  3. C

    World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

    Nasikilizia kaunta ataki lingine
  4. C

    Tabiri matukio magumu kutokea world cup 2014

    Italy wako fiti kwa makaunta ataki. Sasa naona wana nafasi ya kuwabanjua inglandi ni kubwa Pia wakamiliki mpira vizuri,hata muvu zao noma. I think ze nxt goal litakua la kaunta ataki na litafungwa na hawa Mafia wa blue
  5. C

    Hii ndo timu ya kushangilia bila presha

    "Kula kitu roho inapenda","Na kama ni raha jipe mwenyewe" Hongera kwa kuchagua Belgium."Kipendacho roho.... Kila lakheri,have fun...
  6. C

    DRC na Rwanda zapigana kwa siku ya 2

    DRC watauweza kweli mziki wa Rwanda baada ya mauaji ya Col Mamadou Ndalla...! "kama bhanakufa tuko tayari kuona maiti yao,kama bhanawazika tuko tayari kuona tombo yao,kama bhako chini maji tuko tayari kujua samaki ambayo ilibhakula,..." by Col.Mamadou Ndala "Tutawapiga hadi ku mwisho,na adui na...
  7. C

    Majambazi yaua askari Mkuranga na kujeruhi!

    Unajua sehemu yoyote ile mnapokua watu zaidi ya wawili wakati wa usiku ni rahisi sana kujisahau.Kitu kikubwa kinakua ni kujiamini kupita kiasi eti tu kwa sababu mpo wengi. Lakini mtu ukiwa peke yako lindo unakua makini kupita kiasi kwa usalama wako hata na mali unazolinda kama zipo. Mimi...
  8. C

    Je, ulijisikiaje siku ya kwanza ulipoijaribu bangi? Mwenzenu ilikuwa hivi...

    Kuna mchizi bro wake alianza kuranduka kizembe,jamaa alivyoanza ilikua kama utani, akiranduka alikua anapiga kelele sana usiku"hao wanakuja... hao wanakuja, akiulizwa vipi wewe?... "anasema kwani nyinyi hamuwaoni hao watu wanakuja" Mtaani wakamtunga jina "Mibangi nyosso" Haikupita muda jamaa...
  9. C

    Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

    Nyama nyekundu na mazoezi yangu ya Gym ni kama samaki na maji. Pia samaki wa kopo hasa tuna chunks na sardines
  10. C

    Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

    Hata soda kwa wanawake walio wengi ndiyo inawaangamiza hasa wasiotumia kilevi. Hii inawagusa wanaume wengi wasiotumia kilevi pia. Inafika mahali mtu anakunywa soda 2 na kuendelea kila siku kuanzia j3 hadi ijumaa anapokua ofisini.
  11. C

    Majambazi yaua askari Mkuranga na kujeruhi!

    Sasa ni wakati wa kubadilisha hizo sehemu za mapokezi katika vituo vyetu. La sivyo tutaendelea kupoteza askari kila kukicha. Mfumo wa ujengaji hivi vituo ubadilishwe,mbona benki imewezekana kwa nini polisi washindwe?
  12. C

    Hiki kiswahili ni cha wapi?

    Nadhani kisanue inatokana na neno sanuka. Sanuka maana yake ondoka kwa haraka au muda huo huo pasipo kupoteza muda au wakati. Sasa kisanue imekaa kama kitenzi au kielezi hivi kwa mawazo yangu.
  13. C

    The Road to The 2014 FIFA World Cup - Brazil

    Tatizo la ndoto siyo lazima itokee kama ulivyoota,wakati mwingine inakuja kivingine labda hayo matokeo unaweza kuta yakawa ni ya robo fainali au hata nusu fainali.Haya kwa maoni yangu tu
  14. C

    Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye

    Hizi imani zingine bwana,sasa wewe kwa akili yako mtu mwenye dreadlocks atatumiaje kitana? Kama siyo vichekesho ni nini
  15. C

    Kuwa marafiki na mpenz wako kwenye mitandao ya kijamii(social networks/media)

    Vipi akikusababishi ban siku moja...Hahaha...!
Back
Top Bottom