Barua imejileza wazi kijana acha kuws mkosaji hata kwa vitu ambavyo kila na aliye na akiri timamu anaviona....
Imeeleza tarehe ya kutoka kabla ya msamaha wa magereza... tarehe ya kutoka baada ya msamaha wa magereza na tarehe ya kutoka baada ya kupungiziwa adhabu na rais ambayo adhabu hyo bado...
Kwann usipiganie haki ya watanzania?..... jiuleze unataka udini kwan kule wanaenda kusomea mambo ya uislamu....
usiwe na hulka za kidini.... walioenda ni watanzania wenzetu....ukimaliza kuchambua udini utafuata ukanda.... ukimaliza ukanda, utachambua Ukabila.
anza kueneza sumu mbaya hyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.