Recent content by Cloudz

  1. C

    Nani alaumiwe?Anko?,au demu?Naitaji ushauri

    Nimalizane nae kivipi?
  2. C

    Hivi hili ni kosa?

    Uyo atakuja kukutosa akishamaliza chuo na kukufanya kupoteza pesa nyingi kwa mpuuzi Kama uyo achana nae kabisa...waambie madingi yake yakupe chako uxepe tu.uyo ndio limbukeni.ukiendelea shauri yako baba
  3. C

    Nani alaumiwe?Anko?,au demu?Naitaji ushauri

    Nina msichana wangu fulani ametembea na anko wangu tena amemwambia iwe siri sasa anko kaniambia,je nimlaumu nani?.
  4. C

    Jamani awa wanaojifanya ndio ZUKU waondoke tumewachoka

    Zuku kana Sio kufua wamefulia,wamekuja. Kwa mbwembwe sasa tumewaona Kama wababaishaji tu,hata Euro mmeshindwa kuonyesha?.Jamani anaelitaka mimi naliuza tena na package yake ya 60,000/=.nitafute tu kupitia nartons@yahoo.com.ni heri Tuvalu na DSTV
  5. C

    How to get real work from internet

    Electrical engneering
Back
Top Bottom