Uyo atakuja kukutosa akishamaliza chuo na kukufanya kupoteza pesa nyingi kwa mpuuzi Kama uyo achana nae kabisa...waambie madingi yake yakupe chako uxepe tu.uyo ndio limbukeni.ukiendelea shauri yako baba
Zuku kana Sio kufua wamefulia,wamekuja. Kwa mbwembwe sasa tumewaona Kama wababaishaji tu,hata Euro mmeshindwa kuonyesha?.Jamani anaelitaka mimi naliuza tena na package yake ya 60,000/=.nitafute tu kupitia nartons@yahoo.com.ni heri Tuvalu na DSTV
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.