Nina msichana wangu fulani ametembea na anko wangu tena amemwambia iwe siri sasa anko kaniambia,je nimlaumu nani?.
pole ndugu! Kwa hali ya kawaida si rahisi mwanaume akulie vyako halafu yeye ndo aje kukwambia. Uncle kama kafanya ivo ujue kakudharau sana na anataka kumgeuza demu wake so anakuvuruga umpige chini waendelee kwa raha zao. Cha msingi nawe tafuta mdogo wake au ndugu wake karibu upige halafu nawe ukamwambie
Huyo uncle wako ana umri gani?
Nina msichana wangu fulani ametembea na anko wangu tena amemwambia iwe siri sasa anko kaniambia,je nimlaumu nani?.
chukua revola, nenda bafuni, poza machungu, mengine yatafuata baada ya akili kutulia.
Nina msichana wangu fulani ametembea na anko wangu tena amemwambia iwe siri sasa anko kaniambia,je nimlaumu nani?.
Huyo uncle wako ana umri gani?