Mimi ni mwanaume. Nina mpenzi wangu ambaye bado yupo chuo anasoma. Nimekuwa nikijitahidi kumsaidia mambo mengi sana pale hali yangu ya uchumi inaporuhusu. Hivi majuzi ilitokea huyu binti alipata tatizo la kutaka kuzuiwa kufanya mitihani kwa sababu alikuwa hajamaliza kulipa ada, hivyo akaniomba nimsaidie. Kutokana na majukumu mengi niliyokuwa nayo wakati huo, kiasi cha pesa alichokuwa anahitaji ndicho kilichokuwa nimebaki nacho kwenye akaunti yangu. Nilimweleza hali halisi, lakini yeye akaniambia kuwa nimpatie tu hiyo hiyo kwa sababu anategemea kupewa hela hiyo na mzazi wake wiki inayofuata halafu atairejesha. Kutokana na uzito wa jambo hilo, nilikubali kukausha akaunti yangu nikampatia pesa hiyo. Baada ya kumaliza mitihani, nilimwambia kuwa baba yake akimpatia hiyo pesa, asinirudishie yote bali aigawe, nusu anirudishie na nusu abaki nayo ili imsaidie kwenye matumizi yake binafsi. Cha kusikitisha huyu binti alianza kunirushia maneno ya kashfa kuwa mimi ni mshamba, maskini, limbukeni, kwa sababu eti kuna wanaume wanahonga magari lakini hawadai. Pia alifikia hatua ya kunikatia simu pamoja na ku-block namba yangu.Wana JF hayo maneno yaliniuma sana kwa sababu ni mambo mengi sana nimemsaidia siku za nyuma na sijawahi kumdai anirudishie. Sema tu this time ilitokea hivyo kwa sababu uchumi wangu ulikuwa umebana. Kutokana na jinsi ambavyo nilichukia kwa maneno yake ya kashfa aliyonitolea, niliamua kuwaeleza wazazi wake kuhusu anayoyafanya binti yao. Wazazi walinishukuru sana kwa kuwapa hizo taarifa na walisikitika sana na kuahidi kuchukua hatua ya kumuonya binti yao. Sasa kwa upande wa huyo mpenzi wangu, ananilalamikia kuwa nimefanya kitendo ambacho sio cha kistaarabu na nimemdharau. Wana JF naomba mawazo yenu, je hapo nimekosea kuwaeleza wazazi wake?
We Ringopet wewe ndo ushauri gani huu??????? kwanza kweli iko wapi kwenye ushauri wako? tukianzia na 5.usijidanganye kuwa ni utoto angekuwa mtoto wazazi wasingekubali jambo hilo litendeke anamaamuzi yake..-HAPA YAONESHA WAZAZI HAWAKUWA NA PESA WAKATI HUO NA HOFU YA KUTOFANYA MTIHANI ILIMLAZIMU BINTI AKOMAE NA MPENZI WAKE, NA KIPATO CHA WAZAZI HUENDA KIKO CHINI NAO WANAHITAJI KUSAIDIWA..4.anamtu anayempenda zaidi yako na hela unayompa naye anaenda kumwonga ampendaye -NAONA UNATUMIA UZOEFU WETU ULE WA VIJIWENI, SI KILA PESA IOMBWAYO HUENDA KUBAYA HASA KWA UGUMU WA KUWA STUDENT WA CHUO TANZANIA HII3.mtu aliyekupenda kweli hawezi kukuomba hela hata kama anashida sana atakuambia kimafumbo naweutajua kakuomba na hakulazimishi -ni kweli hakulazimishi, BUT ANAYEPENDA HASA/KWELI HUWA WAZI KUELEZA SHIDA YAKE KWA MTU WAKE WA KARIBU NA AKISAIDIWA HATA KAMA NI KIDOGO HURIDHIKA NA KUGUSWA SANA MOYONI. ko kama we HUOMBWI jua wazi huyo hataki kijifunga kwako au hakupendi2.hakupendi kwasababu hana huruma nawe umemwambia huna umebaki na hela anayoihitaji anakuambia umpe hiyo hiyo alijua utaishije-UTAISHIJE? NA YE ATAFANYAJE MTIHANI?..JIBU LILIKUWA NI JAMAA KUTOA PESA THEN AKAKOPE KWA WAFANYAKAZI WENZIE AU MARAFIKI WA NJE.1.achana naye najua itakuwa ngumu lakini usibishane na ukweli-UKWELI UPI, KWAMBA ITAKUWA NGUMU KUACHANA NAYE?..Kaka pole sana kwa jambo lililokutokea halinatofaiti nalangu..,inaonyesha unampenda sana huyo mpenzi wako na hilo jambo analijua na limefanya akupelekeshe ushauri wangu...1.achana naye najua itakuwa ngumu lakini usibishane na ukweli 2.hakupendi kwasababu hana huruma nawe umemwambia huna umebaki na hela anayoihitaji anakuambia umpe hiyo hiyo alijua utaishije nawe unafanya kazi utakulanini,nauli utapata wapi?huyo ataukifukuzwa kazi hata jisikia vibaya yeye anajiangalia yeye tu! 3.mtu aliyekupenda kweli hawezi kukuomba hela hata kama anashida sana atakuambia kimafumbo naweutajua kakuomba na hakulazimishi 4.anamtu anayempenda zaidi yako na hela unayompa naye anaenda kumwonga ampendaye 5.usijidanganye kuwa ni utoto angekuwa mtoto wazazi wasingekubali jambo hilo litendeke anamaamuzi yake..
Mimi ni mwanaume. Nina mpenzi wangu ambaye bado yupo chuo anasoma. Nimekuwa nikijitahidi kumsaidia mambo mengi sana pale hali yangu ya uchumi inaporuhusu. Hivi majuzi ilitokea huyu binti alipata tatizo la kutaka kuzuiwa kufanya mitihani kwa sababu alikuwa hajamaliza kulipa ada, hivyo akaniomba nimsaidie. Kutokana na majukumu mengi niliyokuwa nayo wakati huo, kiasi cha pesa alichokuwa anahitaji ndicho kilichokuwa nimebaki nacho kwenye akaunti yangu. Nilimweleza hali halisi, lakini yeye akaniambia kuwa nimpatie tu hiyo hiyo kwa sababu anategemea kupewa hela hiyo na mzazi wake wiki inayofuata halafu atairejesha. Kutokana na uzito wa jambo hilo, nilikubali kukausha akaunti yangu nikampatia pesa hiyo. Baada ya kumaliza mitihani, nilimwambia kuwa baba yake akimpatia hiyo pesa, asinirudishie yote bali aigawe, nusu anirudishie na nusu abaki nayo ili imsaidie kwenye matumizi yake binafsi. Cha kusikitisha huyu binti alianza kunirushia maneno ya kashfa kuwa mimi ni mshamba, maskini, limbukeni, kwa sababu eti kuna wanaume wanahonga magari lakini hawadai. Pia alifikia hatua ya kunikatia simu pamoja na ku-block namba yangu.Wana JF hayo maneno yaliniuma sana kwa sababu ni mambo mengi sana nimemsaidia siku za nyuma na sijawahi kumdai anirudishie. Sema tu this time ilitokea hivyo kwa sababu uchumi wangu ulikuwa umebana. Kutokana na jinsi ambavyo nilichukia kwa maneno yake ya kashfa aliyonitolea, niliamua kuwaeleza wazazi wake kuhusu anayoyafanya binti yao. Wazazi walinishukuru sana kwa kuwapa hizo taarifa na walisikitika sana na kuahidi kuchukua hatua ya kumuonya binti yao. Sasa kwa upande wa huyo mpenzi wangu, ananilalamikia kuwa nimefanya kitendo ambacho sio cha kistaarabu na nimemdharau. Wana JF naomba mawazo yenu, je hapo nimekosea kuwaeleza wazazi wake?
Mimi ni mwanaume. Nina mpenzi wangu ambaye bado yupo chuo anasoma. Nimekuwa nikijitahidi kumsaidia mambo mengi sana pale hali yangu ya uchumi inaporuhusu. Hivi majuzi ilitokea huyu binti alipata tatizo la kutaka kuzuiwa kufanya mitihani kwa sababu alikuwa hajamaliza kulipa ada, hivyo akaniomba nimsaidie. Kutokana na majukumu mengi niliyokuwa nayo wakati huo, kiasi cha pesa alichokuwa anahitaji ndicho kilichokuwa nimebaki nacho kwenye akaunti yangu. Nilimweleza hali halisi, lakini yeye akaniambia kuwa nimpatie tu hiyo hiyo kwa sababu anategemea kupewa hela hiyo na mzazi wake wiki inayofuata halafu atairejesha. Kutokana na uzito wa jambo hilo, nilikubali kukausha akaunti yangu nikampatia pesa hiyo. Baada ya kumaliza mitihani, nilimwambia kuwa baba yake akimpatia hiyo pesa, asinirudishie yote bali aigawe, nusu anirudishie na nusu abaki nayo ili imsaidie kwenye matumizi yake binafsi. Cha kusikitisha huyu binti alianza kunirushia maneno ya kashfa kuwa mimi ni mshamba, maskini, limbukeni, kwa sababu eti kuna wanaume wanahonga magari lakini hawadai. Pia alifikia hatua ya kunikatia simu pamoja na ku-block namba yangu.Wana JF hayo maneno yaliniuma sana kwa sababu ni mambo mengi sana nimemsaidia siku za nyuma na sijawahi kumdai anirudishie. Sema tu this time ilitokea hivyo kwa sababu uchumi wangu ulikuwa umebana. Kutokana na jinsi ambavyo nilichukia kwa maneno yake ya kashfa aliyonitolea, niliamua kuwaeleza wazazi wake kuhusu anayoyafanya binti yao. Wazazi walinishukuru sana kwa kuwapa hizo taarifa na walisikitika sana na kuahidi kuchukua hatua ya kumuonya binti yao. Sasa kwa upande wa huyo mpenzi wangu, ananilalamikia kuwa nimefanya kitendo ambacho sio cha kistaarabu na nimemdharau. Wana JF naomba mawazo yenu, je hapo nimekosea kuwaeleza wazazi wake?
Mimi ni mwanaume. Nina mpenzi wangu ambaye bado yupo chuo anasoma. Nimekuwa nikijitahidi kumsaidia mambo mengi sana pale hali yangu ya uchumi inaporuhusu. Hivi majuzi ilitokea huyu binti alipata tatizo la kutaka kuzuiwa kufanya mitihani kwa sababu alikuwa hajamaliza kulipa ada, hivyo akaniomba nimsaidie. Kutokana na majukumu mengi niliyokuwa nayo wakati huo, kiasi cha pesa alichokuwa anahitaji ndicho kilichokuwa nimebaki nacho kwenye akaunti yangu. Nilimweleza hali halisi, lakini yeye akaniambia kuwa nimpatie tu hiyo hiyo kwa sababu anategemea kupewa hela hiyo na mzazi wake wiki inayofuata halafu atairejesha. Kutokana na uzito wa jambo hilo, nilikubali kukausha akaunti yangu nikampatia pesa hiyo. Baada ya kumaliza mitihani, nilimwambia kuwa baba yake akimpatia hiyo pesa, asinirudishie yote bali aigawe, nusu anirudishie na nusu abaki nayo ili imsaidie kwenye matumizi yake binafsi. Cha kusikitisha huyu binti alianza kunirushia maneno ya kashfa kuwa mimi ni mshamba, maskini, limbukeni, kwa sababu eti kuna wanaume wanahonga magari lakini hawadai. Pia alifikia hatua ya kunikatia simu pamoja na ku-block namba yangu.Wana JF hayo maneno yaliniuma sana kwa sababu ni mambo mengi sana nimemsaidia siku za nyuma na sijawahi kumdai anirudishie. Sema tu this time ilitokea hivyo kwa sababu uchumi wangu ulikuwa umebana. Kutokana na jinsi ambavyo nilichukia kwa maneno yake ya kashfa aliyonitolea, niliamua kuwaeleza wazazi wake kuhusu anayoyafanya binti yao. Wazazi walinishukuru sana kwa kuwapa hizo taarifa na walisikitika sana na kuahidi kuchukua hatua ya kumuonya binti yao. Sasa kwa upande wa huyo mpenzi wangu, ananilalamikia kuwa nimefanya kitendo ambacho sio cha kistaarabu na nimemdharau. Wana JF naomba mawazo yenu, je hapo nimekosea kuwaeleza wazazi wake?
. kama hawezi KUEXPRESS herself, anafikiri atapewa gari, halohaloo!
hivi mnaosema wanaofanya kazi wawaache wanafunzi hao mnamaana gan? Kwan mtoa mada si kasema huyo ni mwanafunzi wa chuo? Mmeulza umri wa huyo mwanafunzi? hivi chuo hamna wenye ndoa zao?
mmh, Doreen una maana atoe ule mtandao mwingine ndiyo angalau anaweza kufikiriwa kupewa gari ama?
Mimi ni mwanaume. Nina mpenzi wangu ambaye bado yupo chuo anasoma. Nimekuwa nikijitahidi kumsaidia mambo mengi sana pale hali yangu ya uchumi inaporuhusu. Hivi majuzi ilitokea huyu binti alipata tatizo la kutaka kuzuiwa kufanya mitihani kwa sababu alikuwa hajamaliza kulipa ada, hivyo akaniomba nimsaidie. Kutokana na majukumu mengi niliyokuwa nayo wakati huo, kiasi cha pesa alichokuwa anahitaji ndicho kilichokuwa nimebaki nacho kwenye akaunti yangu. Nilimweleza hali halisi, lakini yeye akaniambia kuwa nimpatie tu hiyo hiyo kwa sababu anategemea kupewa hela hiyo na mzazi wake wiki inayofuata halafu atairejesha. Kutokana na uzito wa jambo hilo, nilikubali kukausha akaunti yangu nikampatia pesa hiyo. Baada ya kumaliza mitihani, nilimwambia kuwa baba yake akimpatia hiyo pesa, asinirudishie yote bali aigawe, nusu anirudishie na nusu abaki nayo ili imsaidie kwenye matumizi yake binafsi. Cha kusikitisha huyu binti alianza kunirushia maneno ya kashfa kuwa mimi ni mshamba, maskini, limbukeni, kwa sababu eti kuna wanaume wanahonga magari lakini hawadai. Pia alifikia hatua ya kunikatia simu pamoja na ku-block namba yangu.Wana JF hayo maneno yaliniuma sana kwa sababu ni mambo mengi sana nimemsaidia siku za nyuma na sijawahi kumdai anirudishie. Sema tu this time ilitokea hivyo kwa sababu uchumi wangu ulikuwa umebana. Kutokana na jinsi ambavyo nilichukia kwa maneno yake ya kashfa aliyonitolea, niliamua kuwaeleza wazazi wake kuhusu anayoyafanya binti yao. Wazazi walinishukuru sana kwa kuwapa hizo taarifa na walisikitika sana na kuahidi kuchukua hatua ya kumuonya binti yao. Sasa kwa upande wa huyo mpenzi wangu, ananilalamikia kuwa nimefanya kitendo ambacho sio cha kistaarabu na nimemdharau. Wana JF naomba mawazo yenu, je hapo nimekosea kuwaeleza wazazi wake?